Mara Ninaporudi nyumbani nilipozaliwa huwa namuota sana marehemu mama yangu 🤔
Kwa namna anavyokuja ndotoni ni mtu mpole sana, mkimya,huniangalia na kutabasamu, mara nyingi huwa namuota yupo jikoni au chumbani kwake amepumzika, maana hawezi kufanya tena kazi ngumu, labda kupika tu pekee.
Mara nyingi huja kututembelea tukiwa family nzima au wanaukoo baadhi baadhi
Muda mwingine, ni kama hunionya vitu ambayo Ata sikumbuki,
👉Nawaza huenda ni kwasababu nikirudi nyumbani masaa Machache kabla sijalala kila siku huwa nachukua dk tano hadi Lisaa kumfikiria, alikuwa kama Nyerere na aina Ile ya watu ambao Ata wakifa Yan matendo yao unajikuta unayaishi Kila siku, au lazima utamtolea mfano unakumbuka fulani alifanya ABC wakati wa uhai wake.
Lakini pia, huwa nasoma vitabu vyake viwili alivyoacha ili kujichotea hekima na madini ,haswa nyakati za usku nikiwa nimetulia
👉Karibuni, wakuu kwa michango na mitazamo, Aidha ni physics ndo inafanya kazi au ni 😅ndio wafu hutembelea watu ndotoni
Kwa namna anavyokuja ndotoni ni mtu mpole sana, mkimya,huniangalia na kutabasamu, mara nyingi huwa namuota yupo jikoni au chumbani kwake amepumzika, maana hawezi kufanya tena kazi ngumu, labda kupika tu pekee.
Mara nyingi huja kututembelea tukiwa family nzima au wanaukoo baadhi baadhi
Muda mwingine, ni kama hunionya vitu ambayo Ata sikumbuki,
👉Nawaza huenda ni kwasababu nikirudi nyumbani masaa Machache kabla sijalala kila siku huwa nachukua dk tano hadi Lisaa kumfikiria, alikuwa kama Nyerere na aina Ile ya watu ambao Ata wakifa Yan matendo yao unajikuta unayaishi Kila siku, au lazima utamtolea mfano unakumbuka fulani alifanya ABC wakati wa uhai wake.
Lakini pia, huwa nasoma vitabu vyake viwili alivyoacha ili kujichotea hekima na madini ,haswa nyakati za usku nikiwa nimetulia
👉Karibuni, wakuu kwa michango na mitazamo, Aidha ni physics ndo inafanya kazi au ni 😅ndio wafu hutembelea watu ndotoni