Kumuuza Chama ilikuwa ni kosa kubwa Simba

Kumuuza Chama ilikuwa ni kosa kubwa Simba

Huja

JF-Expert Member
Joined
Aug 7, 2021
Posts
1,167
Reaction score
1,848
Nimejaribu kufuatilia kwa makini mechi mbili za simba dhidi ya TP MAZEMBE na Derby ya YANGA...
Zote mbili ni mechi kubwa kutoa kipimo cha Simba ya msimu mpya.

Simba niliyoizoea ya mipango katika ushambuliaji haipo kabisa...Ullikuwa unaiona kabisa simba inavyotafuta goli, mabeki wanavyopoteana wa timu pinzani kwa sababu ya mtaalamu mmoja CHAMA...Ufundi na kutulia bila papara ni mara chache nimeshuhudia ktk mpira wa kiafrika hasa kusini mwa Afrika.

Naweza kusema angeweza kuondoka Luis Miqueson na kubaki CHAMA na kwa vijana hawa KONOUTE , SAKHO na BANDA chini ya mipango ya CHAMA simba ingetisha mara mbili. Katika timu unaweza kupata forward wengi lakini ni nadra kuwapata mafundi kama CHAMA. Nalinganisha na ufundi wa ZINEDINE ZIDANE wakati fulani REAL MADRID au XAVI na Iniesta BARCELONA....Taste na brain zile huzipati kila wakati.

Tungeweza kumuuza Luis Miqueson, ila kumuuza CHAMA lilikuwa kosa kubwa hasa kwa timu iliyokuwa imeshaanza safari...
 
Yaani Hawa Ndiyo Hawataki Mabadiliko Walitaka Hao Wafie Simba, Yaani Kufungwa Iwe Nongwa Yaani Wangeshuka Viwango Wakiwa Simba Mngesema Bora Wauzwe
Ubaya ni.kwamba hata hawa wanao wasifia walipoletwa waliwaponda kwa kejeli km hizi. Na uzuri mwisho wa msimu watakua wanalalamika kama kawaida yao
 
Nimejaribu kufuatilia kwa makini mechi mbili za simba dhidi ya TP MAZEMBE na Derby ya YANGA...
Zote mbili ni mechi kubwa kutoa kipimo cha Simba ya msimu mpya..
Simba niliyoizoea ya mipango katika ushambuliaji haipo kabisa...Ullikuwa unaiona kabisa simba inavyotafuta goli, mabeki wanavyopoteana wa timu pinzani kwa sababu ya mtaalamu mmoja CHAMA...Ufundi na kutulia bila papara ni mara chache nimeshuhudia ktk mpira wa kiafrika hasa kusini mwa Afrika...
Naweza kusema angeweza kuondoka Luis Miqueson na kubaki CHAMA na kwa vijana hawa KONOUTE , SAKHO na BANDA chini ya mipango ya CHAMA simba ingetisha mara mbili... Katika timu unaweza kupata forward wengi lakini ni nadra kuwapata mafundi kama CHAMA...Nalinganisha na ufundi wa ZINEDINE ZIDANE wakati fulani REAL MADRID au XAVI na Iniesta BARCELONA....Taste na brain zile huzipati kila wakati.

Tungeweza kumuuza Luis Miqueson, ila kumuuza CHAMA lilikuwa kosa kubwa hasa kwa timu iliyokuwa imeshaanza safari...
Boss Mo alishaanza kufokeana na Chama na baadae akahamua amuuze, yote haya ni Boss Mo.
 
Boss Mo alishaanza kufokeana na Chama na baadae akahamua amuuze, yote haya ni Boss Mo.
Yaani kuna maeneo yake ya 18 wachezaji wa simba walikuwa wanafanya maamuzi ya hovyo saana, yaani chama pale anakufinya na anakuja mwingine ana mfinya tena halafu anatoa killer pass Kwa Mugalu The Animal
 
Naona mechi moja tu Ushaanza KUROPOKA kafue jezi ulale
Yuko sahihi kinachoonekana sasa ni mwendelezo wa yanayotokea,,,mpira unachezwa adharani kila kitu kinaonekana, atukatai kuuza wachezaji kwa maana ni jambo la kawaida duniani kote, lakini unapofanya replacement unatakiwa uangalie aina ya replacement unayokwenda kuifanya je inalingana au kukalibiana na kilichoondoka ili kulinda ule ubora uliokuwepo awali, hiki ndicho kitakachowatesa simba msimu huu, Mwamed amekuwa mgumu wa kufanya usajili mkubwa msimu huu kwa maana target yake kwa sasa ni kufanya biashara ya wachezaji, ananunua vijana wadogo wasiokuwa na uzoefu wowote kwa bei ndogo ili waje wakue auze, yaani anataka kuwa Kama Arsenal wanavyofanya awawazi makombe wao wanawaza faida wanayoingiza kupitia biashara ya wachezaji, ndicho ninachokiona kwa mo sasa hivi, kwa akili ya kawaida nilitegemea ameuza chama na miksoni kwa pesa nzuri angeingia sokoni kutafuta wachezaji wawili wa maana ambao ingewachukua mda mfupi Sana kuwapa kile wanachokitaka, mchezaji mkubwa unapomsajili aiitaji mda mrefu kuona u bora wake, unaliona hilo kwa akina bangala na aucho wa yanga na mayele,,ni wachezaji ambao ni top prayer na wameonyesha ilo kwa mda mfupi, sasa mwamed hii misheni yake itawaumiza mashbiki wake
 
Nimejaribu kufuatilia kwa makini mechi mbili za simba dhidi ya TP MAZEMBE na Derby ya YANGA...
Zote mbili ni mechi kubwa kutoa kipimo cha Simba ya msimu mpya..
Simba niliyoizoea ya mipango katika ushambuliaji haipo kabisa...Ullikuwa unaiona kabisa simba inavyotafuta goli, mabeki wanavyopoteana wa timu pinzani kwa sababu ya mtaalamu mmoja CHAMA...Ufundi na kutulia bila papara ni mara chache nimeshuhudia ktk mpira wa kiafrika hasa kusini mwa Afrika...
Naweza kusema angeweza kuondoka Luis Miqueson na kubaki CHAMA na kwa vijana hawa KONOUTE , SAKHO na BANDA chini ya mipango ya CHAMA simba ingetisha mara mbili... Katika timu unaweza kupata forward wengi lakini ni nadra kuwapata mafundi kama CHAMA...Nalinganisha na ufundi wa ZINEDINE ZIDANE wakati fulani REAL MADRID au XAVI na Iniesta BARCELONA....Taste na brain zile huzipati kila wakati.

Tungeweza kumuuza Luis Miqueson, ila kumuuza CHAMA lilikuwa kosa kubwa hasa kwa timu iliyokuwa imeshaanza safari...
CHAMA alitaka kuondoka mwenyewe kutokana na masilahi yake tungemzuia vipi?
Na mshahara wake huo mpya wa milioni 80 ungelipa wewe???
Tuache ujuaji sana.
 
Mbona kipindi chama yupo tuliwahi kufungwa na yanga, tukadroo na T. Prisons kwa mbinde, tukafungwa na Kaizer chief n.k.
Mpira hauko hivyo bro, mechi moja au mbili so kipimo cha timu kama ni bora au lah

Sent from my ALE-L21 using JamiiForums mobile app
Mlifungwa na Yanga na chama na Miquissone walikuwemo ila Yanga walikuwa wanapumulia mipira na mpira wa simba ulikuwa unaonekana kabisa jinsi wanavyocheza ila sio jana

Yaani unafungwa na mpira mwingi unapigiwa
 
Nimejaribu kufuatilia kwa makini mechi mbili za simba dhidi ya TP MAZEMBE na Derby ya YANGA...
Zote mbili ni mechi kubwa kutoa kipimo cha Simba ya msimu mpya..
Simba niliyoizoea ya mipango katika ushambuliaji haipo kabisa...Ullikuwa unaiona kabisa simba inavyotafuta goli, mabeki wanavyopoteana wa timu pinzani kwa sababu ya mtaalamu mmoja CHAMA...Ufundi na kutulia bila papara ni mara chache nimeshuhudia ktk mpira wa kiafrika hasa kusini mwa Afrika...
Naweza kusema angeweza kuondoka Luis Miqueson na kubaki CHAMA na kwa vijana hawa KONOUTE , SAKHO na BANDA chini ya mipango ya CHAMA simba ingetisha mara mbili... Katika timu unaweza kupata forward wengi lakini ni nadra kuwapata mafundi kama CHAMA...Nalinganisha na ufundi wa ZINEDINE ZIDANE wakati fulani REAL MADRID au XAVI na Iniesta BARCELONA....Taste na brain zile huzipati kila wakati.

Tungeweza kumuuza Luis Miqueson, ila kumuuza CHAMA lilikuwa kosa kubwa hasa kwa timu iliyokuwa imeshaanza safari...
Itabidi warudi
Nimejaribu kufuatilia kwa makini mechi mbili za simba dhidi ya TP MAZEMBE na Derby ya YANGA...
Zote mbili ni mechi kubwa kutoa kipimo cha Simba ya msimu mpya..
Simba niliyoizoea ya mipango katika ushambuliaji haipo kabisa...Ullikuwa unaiona kabisa simba inavyotafuta goli, mabeki wanavyopoteana wa timu pinzani kwa sababu ya mtaalamu mmoja CHAMA...Ufundi na kutulia bila papara ni mara chache nimeshuhudia ktk mpira wa kiafrika hasa kusini mwa Afrika...
Naweza kusema angeweza kuondoka Luis Miqueson na kubaki CHAMA na kwa vijana hawa KONOUTE , SAKHO na BANDA chini ya mipango ya CHAMA simba ingetisha mara mbili... Katika timu unaweza kupata forward wengi lakini ni nadra kuwapata mafundi kama CHAMA...Nalinganisha na ufundi wa ZINEDINE ZIDANE wakati fulani REAL MADRID au XAVI na Iniesta BARCELONA....Taste na brain zile huzipati kila wakati.

Tungeweza kumuuza Luis Miqueson, ila kumuuza CHAMA lilikuwa kosa kubwa hasa kwa timu iliyokuwa imeshaanza safari...
Chama akiwepo Simba ilikuwa inafungwa hivi hivi
 
Back
Top Bottom