SILLENT KILLER 2
Member
- Jun 12, 2024
- 28
- 38
Wakuu habari zenu. Natumaini mu wazima.
Kama title inavyosema hapo juu hivi ni kitu gani/sababu gani inayofanya kumwaga\kuejaculeti mapema ni nini sababu maana nilishawahi kufuatwa na watu kama wawili wakinieleza tatizo kama hilo sasa mimi nikishindwa kuwajibu.
Basi wakuu nilikuwa naomba kama kuna mtu anajua sababu au shida naomba mchango wenu.
Nawasilisha.
Kama title inavyosema hapo juu hivi ni kitu gani/sababu gani inayofanya kumwaga\kuejaculeti mapema ni nini sababu maana nilishawahi kufuatwa na watu kama wawili wakinieleza tatizo kama hilo sasa mimi nikishindwa kuwajibu.
Basi wakuu nilikuwa naomba kama kuna mtu anajua sababu au shida naomba mchango wenu.
Nawasilisha.