Je! Mapadri na Masister ambao hata hawaruhusiwi kuoa wanatakiwa kumwaga mbegu zao wapi??
Qur'an inasema nini kuhusu Upadri?
Qur'an 57:27 inasema hivi '...'Tena tukafuatisha nyuma yao Mitume wengine, na tukamfuatisha Isa bin Mariamu, na tukampa Injili. Na tukajaalia katika nyoyo za walio mfuata upole na rehema. Na umonaki (utawa wa mapadri) wameuzua wao. Sisi hatukuwaandikia hayo, ila kutafuta radhi za Mwenyezi Mungu. Lakini hawakuufuata inavyo takiwa kuufuata. Basi wale walio amini katika wao tuliwapa ujira wao. Na wengi wao ni wapotovu.
Kumbe hapo utaona kwamba upadri na utawa ilikua ni uzushi wala MUNGU hakuwaambia wafanye hivyo, ispokua wao walifanya hivyo kutafuta radhi ya MUNGU, lakini hata hivyo hawakufuata inavyotakiwa na wengi wao walipotoka.