Helowa Kivuyo
New Member
- Aug 15, 2018
- 2
- 1
mmmmmh ila me naona kwa round ya kwanza ukichomoa na kujisafisha sawa pili ni cdhani ukirudia round ya pili kwani nguvu za kuskuma mbegu imepungua so haipo kwenye high speed so mimba bado probability
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijakuelewa hapa, unamaanisha goli la pili haliwezi kutungisha mimba?mmmmmh ila me naona kwa round ya kwanza ukichomoa na kujisafisha sawa pili ni cdhani ukirudia round ya pili kwani nguvu za kuskuma mbegu imepungua so haipo kwenye high speed so mimba bado probability
Njia nzuri sana ila sijawahi kufanikiwa hii njia. Nikikaribia tu nasema liwalo na liwe.mmmmmh ila me naona kwa round ya kwanza ukichomoa na kujisafisha sawa pili ni cdhani ukirudia round ya pili kwani nguvu za kuskuma mbegu imepungua so haipo kwenye high speed so mimba bado probability
Soma komenti za mwanzo, suala lako limezungumziwa kwa ufasaha na JapkasHabari zenu wote natumaini muwazima...
Wakati wa kufanya sex na mtu akawithdraw ile round ya kwanzaa, hivi wakati zinatoka zile sperms si kuna baathi zinaweza zikabaki kwenye mrijaa!!?
Na kama zinaweza zikabaki je wakati wa round ya Pili si kuna majimaji yanatoka kusafisha mrija na yanaeza yakatoka na zilee zilizobakibaki kwenye mrija na kusababisha pregnancy!?
Naomba mwenye ufahamu wa hili swala aniweke sawaa maana nimekua nikifikiria kwa muda mrefu na sijapata Jibu la kuridhisha..
Nawasilishaa
Jamani wanaJF,
Hivi hii njia ya uzazi wa mpango ya kujamiiana ,then ukamwaga nje mbegu zako zote pale unapo fikia kilele., Je, uwezekano wa mkeo/girlfriend kupata mimba inawezekana?
Je ni kwa kiasi gani?
Madokta na watu wenye uelewa na uzoefu naomba maoni yenu.