Kumwaga nje mbegu za kiume wakati wa tendo (withdraw) na uwezekano wa kupata mimba

mmmmmh ila me naona kwa round ya kwanza ukichomoa na kujisafisha sawa pili ni cdhani ukirudia round ya pili kwani nguvu za kuskuma mbegu imepungua so haipo kwenye high speed so mimba bado probability
 
mmmmmh ila me naona kwa round ya kwanza ukichomoa na kujisafisha sawa pili ni cdhani ukirudia round ya pili kwani nguvu za kuskuma mbegu imepungua so haipo kwenye high speed so mimba bado probability
Sijakuelewa hapa, unamaanisha goli la pili haliwezi kutungisha mimba?
 
Mzee hii njia lazima uwe professional na uwezo wa timing nzuri. Pia baada kutoa nje hakikisha unaenda kukojoa na kuosha kwa maji ile sehemu ya juu then utakuwa tayar kuendelea.
 
mmmmmh ila me naona kwa round ya kwanza ukichomoa na kujisafisha sawa pili ni cdhani ukirudia round ya pili kwani nguvu za kuskuma mbegu imepungua so haipo kwenye high speed so mimba bado probability
Njia nzuri sana ila sijawahi kufanikiwa hii njia. Nikikaribia tu nasema liwalo na liwe.
 
Soma komenti za mwanzo, suala lako limezungumziwa kwa ufasaha na Japkas
 
Me mwenyewe hua nahisi kinachosababisha mimba ni goli la kwanza kwa sababu linakua jingi na linatoka kwa kasi inayoweza kuzipa nguvu mbegu za kusonga mbele na kutungisha mimba
Ila kuanzia goli la pili linakua kidogo na tunajua ili mimba itokee ni lazima mbegu kama million nne ziwepo
Hua nahisi hivo ingawa sina uhakika
 
kumwaga nje ni dhambi hiyo ni punyeto asilia.... mi nakushauri ni bora ukapiga nyeto kuliko kufanya afu unamwaga nje..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…