Babu Kijiwe
JF-Expert Member
- Mar 31, 2010
- 4,830
- 4,729
- Thread starter
- #21
KhaaWengine wanamwagiana tope eti siku hizi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KhaaWengine wanamwagiana tope eti siku hizi
Ndege wafananao huruka pamoja, hadi anae mwagiwa maji nae ni wale wale tu😛😛😛😛 hawa hawajakutana na mtu aliyepinda
kweli aiseeNdege wafananao huruka pamoja, hadi anae mwagiwa maji nae ni wale wale tu
Don't look smartness when it come to funny moment.Hehehehe kwanza sina urafiki na kenge wa aina hiyo nina marafiki smart ambao hawana upuuzi huo na akija kutokea mmoja mwenye akili hizo atarudi nyumbani hana kitu kimoja katia ya hivi.
Nyonga au kiuno.
Don't look smartness when it come to funny moment.Hehehehe kwanza sina urafiki na kenge wa aina hiyo nina marafiki smart ambao hawana upuuzi huo na akija kutokea mmoja mwenye akili hizo atarudi nyumbani hana kitu kimoja katia ya hivi.
Nyonga au kiuno.
Hahaha haina tofauti Sipendi kwenda Marekani kumbe huna nauli. Hao wanaomwagiana maji sio vichaa hawawezi kukumwagia maji bila we muhusika kuwa na interest na hayo mambo. Tuwaache vijana waenjoy maisha miili ya kwao maji ya kwao we unakereka nini. Wao kumwagiana maji kunakwamisha vipi dili zako za kila siku?!Mkuu mtoa mada hiyo kampani ya kukumwagia maji kwanza unayo tuanzie hapo maana sio unaongea sipendi Burger nawakati kumbe pesa yenyewe huma.
Duh Jecha tena !!Wamehamisha comment yangu hawa nawafananisha na jecha
Hahaha haina tofauti Sipendi kwenda Marekani kumbe huna nauli. Hao wanaomwagiana maji sio vichaa hawawezi kukumwagia maji bila we muhusika kuwa na interest na hayo mambo. Tuwaache vijana waenjoy maisha miili ya kwao maji ya kwao we unakereka nini. Wao kumwagiana maji kunakwamisha vipi dili zako za kila siku?!
Mkuu huyo ni dem wanguMambo vp mrembo kwa uzomeaje huo wewe ni demu kabisa
Poa bossMkuu huyo ni dem wangu
Habari wanajamvi, Miaka ya hivi karibuni kameibuka kamtindo kakilimbukeni ka kumwagiana maji siku ya kuzaliwa. Mtindo huu umeigwa toka ng'ambo na kuletwa kwetu. (Si vibaya kuiga, lakini ni vizuri kuiga vitu vyenye tija) Unakuta mtu umevaa nguo za heshima upo ofisini anakuja mtu huko alipotoka na kukumwagia maji bila sababu za msingi kwa kigezo cha kukusababishia furaha katika siku yako ya kuzaliwa, kwa maoni yangu huo ni ulimbukeni uliopitiliza, hivi nikweli kwa jamii zetu kulikuwa na haja ya kuiga hili?
Nivema tuangalie mambo ya kuiga toka ng'ambo, haya mambo ya kuiga kila kitu ni ulimbukeni ndo maana wengine wameiga ushoga maana hawajajifunza kuiga mazuri.
Onyo: Atakaye thubutu kunimwagia maji siku ya kuzaliwa atachezea kipigo cha mbwa koko, nitamtoa meno ya mbele mpaka ashindwe kutamka neno ubwabwa, ukimwambia sema ubwabwa anasema wawaa.
@mods tafadhali usitoe
HahahaaaaaView attachment 935409hepi besidei tu yu