Kumwagwa kwa flani iwe fundisho kwa 'Serengeti boys' na wote wanaolilia mashuga mummy!

Kumwagwa kwa flani iwe fundisho kwa 'Serengeti boys' na wote wanaolilia mashuga mummy!

Usedcountrynewpipo

JF-Expert Member
Joined
Aug 1, 2012
Posts
3,636
Reaction score
2,728
Ndio maana imeagizwa mwanaume amuoe mwanamke. Inapotokea mwanamke akamuoa mwaname hiyo ndoa haiwezi kudumu.
Ndoa anayolewa mwanaume hukoma mara tu pale mwanamke atapomchoka mwanaume au hamu (genye) zitakapoisha.

Nimepata taarifa mitandaoni kuwa yule kijana aliyekuwa akiishi kinyumba na 'dada ake' amepigwa chini. Hili si jambo la kumshitua mtu mzima yeyote anayejua mtiririko au fomula za mahusiano zinavyo kwenda.
Kwangu mimi ninafurahia kuwa kijana au mdogo wetu sasa amewekwa huru ili aweze kuishi maisha ambayo kijana mwingine wa kiume anatakiwa aishi. Embu fikiria unasikia mdogo wako au ndugu yako kahamia nyumbani kwa mwanamke na analelewa unapata machungu kiasi gani! Jambo hili kwangu mimi limekuja kama faraja lakini likiwa na funzo kwa vijana wengine kuwa mwanume haolewi na akiwekwa ndani kinyumba basi anything can happen any time.

Hongera sana kijana kwa kuwekwa huru. Pia ni wakati wa dada yetu kutafuta mtu wa rika lake atulie naye...
 
mmh... watu wanapenda kushabikia ya wenzao ilhali wana yao mazito.
 
Vijana mtafia viunoni kwa shangazi zenu wa kufikia.
 
Vijana mafia viunoni kwa shangazi zenu wa kufikia.


Mwambieni Gube gube Wolper na Harmonise
Yaani Wolper chagga zima kutafuta hela bila kuitumia papuchi hawezi bora hata alivyokuwa akiuza sabuni za unga
kisa cha kubemenda mwana wa mwezio ni nini?
 
vijana wa ki-bongo hivi hata mna-enjoy kweli mambo kweli maana unakuta kijitu kifupiiii kicheza shoo kinang'ang'ania Jimama hilooo!!! Mtakufa mkiwa macho nyie!
 
Makubwa ndio yenyewe huku tunayaita wanajeshi na huwa tunwapaga vyeo kila likikubuhu cheo kinaongezeka hadi kanali vijidogo vinazingua hata saba havifikishi bana
 
Hivi vijidogo tunaviita mgambo au kuruta akizidi kidogo koplo
 
Kama hamtaki kusema wazi ni wakina nani pigeni kimya mnatuchosha.... wengine tunasomaga The Citizen na The Guardian sasa mkileta mambo as if kila mtu anasoma udaku mnakua mnazingua
[emoji109] [emoji109]
 
Hatari Hatari. Mi nasubiria milioni 50 hapa.
 
Safi sana. Wapenda miteremko ya kitonga ni aibu. Yaani mama yako au Dada mkubwa kabisa unathubutu kumvua Nguo. Malezi hovyo kabisa hayo.
 
Back
Top Bottom