Kumwagwa kwa flani iwe fundisho kwa 'Serengeti boys' na wote wanaolilia mashuga mummy!

Ukizoea kusugua hiyo midude hutaoa hakika
 
vijana wa ki-bongo hivi hata mna-enjoy kweli mambo kweli maana unakuta kijitu kifupiiii kicheza shoo kinang'ang'ania Jimama hilooo!!! Mtakufa mkiwa macho nyie!
mkuu acha wivu we unawatamani lakin hauwapati
 
Kama hamtaki kusema wazi ni wakina nani pigeni kimya mnatuchosha.... wengine tunasomaga The Citizen na The Guardian sasa mkileta mambo as if kila mtu anasoma udaku mnakua mnazingua
Hahahaaa The citizen na the gurdian lakini jf kwenye jukwaa la udaku hahahaaa mkuu umenifurahisha
 
Ahahahaaaaa...ukisikia mtu mzima anasutwa ndo leo.....walikua wanafanyia promo wimbo mpya waitwa ganda la ndizi
hawanampango wa kuachana!!!
Siku hizi nimeanza kujifunza ubuyu..hebu niambie my sister ni kina nani hao?
 
Inaonekana watoto ni watamu ee maana shilole hataki kabisa wanaume wakubwa,sasa hivi ana kitoto tena ,ngoja nije nijaribu kitoto nione ladha yao ipoje[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nani huyoooooooooo mkuu usimumunye hakuoni ebu tupe jina..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…