Hivi kwanza kwa nini nimpakie mimi? ina maana yeye hajipendi mpaka akumbushwe yote hayo?
Hivi kwanza kwa nini nimpakie mimi? ina maana yeye hajipendi mpaka akumbushwe yote hayo?
Hahaha lol!!!Hapo sasa BB..... kwanza kwani lazima nijue??? Ndo yale ya ile post mumeo kukili alilala na vimada viwili hata hujamuuliza.....
:mod::mod::mod::mod:Nitaua mtu!
Asha, we mkali....!
wanawake nchini burundi wana mazoea ya kuwaandalia wenza wao kondoms wanaposafiri. Je, hiyo inamaanisha kuwa wanaume hawawezi kuvumilia? Na kitendo cha kupewa kondoms na mke hakiwezi kuonekana ni kuhalalisha tendo nje ya ndoa? Mnasemaje wana jf!
........mke naye akisafiri unamfungashia LADY PEPETA ..akapepete mbele kwa mbele..hahahahahahaha...
kwanza akazifanyie nn, akazile? aclogwe hata niikute mfukoni kwake kwa bahati mbaya.