Kumwendea Al Ahly Zanzibar sio dawa, Percy Tau na Aliou Dieng hawarogeki

Kumwendea Al Ahly Zanzibar sio dawa, Percy Tau na Aliou Dieng hawarogeki

Jamaa wameona kwa jinsi mchezo ulivyo mgumu basi njia pekee iliyobaki ni kwenda zanzibar ambako walitumia waganga wa pemba kuipiga 5 timu moja ambayo jana imekaa kikao na wachezaji kubaini tatzo wakati ukweli ni kuwa wao ndio tatizo kubwa ndani ya timu.

Narudia tatizo sio wachezaji wa timu iliyofungwa mabao 5 kwa 1, tatzo like kwenu viongozi, mnawashushia lawama za bure players.

Nyie mliofungwa na waarabu bao 3 huko zanzibar labda mcheze na azam au mliowafunga 5 sawa lakin Percy Tau ni habari nyingine.Wale michuano hii ndio nyumbani kwao, hata mhangaike vip na uzuri wake wengine kiingereza cha kuombea maji tunakijua, tutakwenda kwenye website yao to tell them that the should be very keen about superstitions against their opponent.We will tell them you are ready to sacrifice anybody in order to win the game.

They should take precautions when they land at the airport since their opponent will start to pour their magic water there, do not agree to board their bus, come with your food, communicate with me through mobile number 0787444444888888 if you want to overcome Utopolo.

You will be grateful to me.
They did it against simba sports club with mikael gamond and jesus moloko leading the front line before the game during warming up session in which they poured a lot of water in every angle of the pitch and mikael gamond at the centre of the pitch in short yanga they belives in superstition than any other team in NBC premier league.
 
They did it against simba sports club with mikael gamond and jesus moloko leading the front line before the game during warming up session in which they poured a lot of water in every angle of the pitch and mikael gamond at the centre of the pitch in short yanga they belives in superstition than any other team in NBC premier league.
Galaxy wamepewa hayo madude na Yanga ndiyo maana walichofanya uwanjani kabla ya mechi kinafanana na kile walichofanya Yanga kwenye dabi. Simba wanapoenda kucheza nao katika mechi zote mbili wasipojiandaa kama vile wanacheza na Yanga kuna jambo litatokea
 
They did it against simba sports club with mikael gamond and jesus moloko leading the front line before the game during warming up session in which they poured a lot of water in every angle of the pitch and mikael gamond at the centre of the pitch in short yanga they belives in superstition than any other team in NBC premier league.
Kwahiyo kwa akili zako nawe unaamini kuwa uchawi unaleta mafanikio kwenye mpira?
 
Yanga wajipange. Mwarabu wa Al Ahly inaonekana hatanii. Tau kapunzishwa asicheze game huko Misri ili ajiandae zaidi kuikabili Yanga..uto mwaka huu mnalo

Screenshot_20231128_143724_X.jpg
 
Galaxy wamepewa hayo madude na Yanga ndiyo maana walichofanya uwanjani kabla ya mechi kinafanana na kile walichofanya Yanga kwenye dabi. Simba wanapoenda kucheza nao katika mechi zote mbili wasipojiandaa kama vile wanacheza na Yanga kuna jambo litatokea
Akili zenu ni za ajabu sana, yaani hapo ndio umefikiria ukafikia kikomo? Yanga ampe Galaxy hayo madude ili Yanga afaidike na kipi kwa Galaxy?
Kama Yanga wanaamini kuhusu hayo madude si angeenda wao kuyatumia kule Algeria kuliko kuwapa Galaxy? Ufikie hatua muwe mnatumia vyema akili.
 
Yanga wajipange. Mwarabu wa Al Ahly inaonekana hatanii. Tau kapunzishwa asicheze game huko Misri ili ajiandae zaidi kuikabili Yanga..uto mwaka huu mnalo

View attachment 2827456
Nyie mnaongea hivyo utafikiri mnaongoza kundi vile kumbe mmetoa sare na timu zilizo chini kwenye rank za CAF. Mpaka sasa hakuna mechi hata moja mlioshinda msimu huu wa mashine ya CAF.
 
Yanga hawezi kupata ushindi mbele ya Al Ahly. Sio kwamba Yanga ni mbovu, ni vile tu hawana uzoefu wa mechi za CAF Champions League.
Uzoefu unasaidia nini kama timu haichukui kombe au medali Kwenye mashindano makubwa ya caf ??
 
Nyie mnaongea hivyo utafikiri mnaongoza kundi vile kumbe mmetoa sare na timu zilizo chini kwenye rank za CAF. Mpaka sasa hakuna mechi hata moja mlioshinda msimu huu wa mashine ya CAF.
Nyie mmeshinda ipi? Mna point 0 kati ya 3 mlizotakiwa kuwa nazo.
 
Akili zenu ni za ajabu sana, yaani hapo ndio umefikiria ukafikia kikomo? Yanga ampe Galaxy hayo madude ili Yanga afaidike na kipi kwa Galaxy?
Kama Yanga wanaamini kuhusu hayo madude si angeenda wao kuyatumia kule Algeria kuliko kuwapa Galaxy? Ufikie hatua muwe mnatumia vyema akili.
Sasa unachobisha ni nini? Kwneye derby hamkufanya mambo ambayo hao Galaxy wanatuhumiwa kuyafanya pale uwanjani kabla ya mechi?
 
Jamaa wameona kwa jinsi mchezo ulivyo mgumu basi njia pekee iliyobaki ni kwenda zanzibar ambako walitumia waganga wa pemba kuipiga 5 timu moja ambayo jana imekaa kikao na wachezaji kubaini tatzo wakati ukweli ni kuwa wao ndio tatizo kubwa ndani ya timu.

Narudia tatizo sio wachezaji wa timu iliyofungwa mabao 5 kwa 1, tatzo like kwenu viongozi, mnawashushia lawama za bure players.

Nyie mliofungwa na waarabu bao 3 huko zanzibar labda mcheze na azam au mliowafunga 5 sawa lakin Percy Tau ni habari nyingine.Wale michuano hii ndio nyumbani kwao, hata mhangaike vip na uzuri wake wengine kiingereza cha kuombea maji tunakijua, tutakwenda kwenye website yao to tell them that the should be very keen about superstitions against their opponent.We will tell them you are ready to sacrifice anybody in order to win the game.

They should take precautions when they land at the airport since their opponent will start to pour their magic water there, do not agree to board their bus, come with your food, communicate with me through mobile number 0787444444888888 if you want to overcome Utopolo.

You will be grateful to me.
1979Magufuli, Sayville et al yule mshirikina mwenzenu GENTAMYCINE yuko wapi? Maana kwenu kila kitu ni ushirikina. This is the 21st century please! Pathetic.
 
Back
Top Bottom