MFALME WETU
JF-Expert Member
- Feb 1, 2021
- 4,071
- 10,028
wanawake wanaona wakitumia kiingereza wataonekana wa matawiKwanini lugha adhimu ya kiswahili huwa haina nafasi kwenye huu upuuzi unaoitwa mapenzi?
Alafu kingereza chenyewe sasa ni brokenwanawake wanaona wakitumia kiingereza wataonekana wa matawi
Soma comment #3 kafunga mada.Imagine mwanaume una pishanana mpenzi wako zaidi ya miaka mitano af eti ukae kumwomba msamaha zaidi ya lisaa lakini haelewi π aisee
Huyu nishambembeleza mpaka nmechoka kisa nilimwambia leo tutameet ila sijatokea ndo kamind siku nzima wakati kazaliwa 2004.!! think i should just swallow my pride..
View attachment 3138570
Wengine mnawezaje? Especially nyie masponsa
Ushamba, kwamba ukiandika kiswahili utaonekana huna swaga, afu watoto wengi wa 2000 wana mitazamo ya kileo.Kwanini lugha adhimu ya kiswahili huwa haina nafasi kwenye huu upuuzi unaoitwa mapenzi?
Zakuambiwa..Usiombe msamaha kwa mpenzi wako, never, kuomba msamaha ni ishara ya udhaifu, kufanya hivyo unampa mamlaka asiyokuwa nayo kwenye mahusiano yenu
For sure, kesho asiponiparua na makucha kwa Bed basi chamoto atakionaHiyo message anataka kukandwa...we mfuate kampigie popote utakapomkuta.
Ukiweza kukidate na binti aliyezaliwa kuanzia mwaka 2000 na tukamaliza mwaka mzima broo you can rule the world π€£sijui mnanielewa vizuriImagine mwanaume unapishana na mpenzi wako kwa zaidi ya miaka mitano af eti ukae kumwomba msamaha zaidi ya lisaa lakini haelewi π aisee
Huyu nishambembeleza mpaka nmechoka kisa nilimwambia leo tutameet ila sijatokea ndo kamind siku nzima wakati kazaliwa 2004.!! think i should just swallow my pride..
View attachment 3138570
Wengine mnawezaje? Especially nyie masponsa
Juzi nilimpatia over 200k ya matumizi na leo tena nimtumie zingine? NeverMtumie hela ukae kimya.....akiendelea kukaza basi yupo serious na mpenzi wake we muache.
Umesema uko wapi sahivi?
Mkuu suala la mwandiko kwa wabongo ni kizungumkuti, kesho ntamtimbia kwake nimsikilize anajishaua vipi. Kwa leo am done2004 huyo degree mwaka wa pili cheki anavyoandika
sema tz kuna shida ya muandiko, watu hawawezi kujieleza
wasichana wa 2004 ganzi sana, huyo anataka umbembeleze ki2004, umbembeleze kisawa sawa.