Kuna aina hii ya marafiki vipi pia unao

Kuna aina hii ya marafiki vipi pia unao

joseph_mbeya

JF-Expert Member
Joined
Nov 20, 2023
Posts
1,123
Reaction score
2,935
Inakuaje wakubwa ...poleni na mihangaiko ya hapa na pale niende kwenye mada moja kwa moja

Kuna aina fulani hivi za marafiki wao apo muda kidogo walikuwa ni marfiki zetu kindaki ndaki lakini baada ya muda maisha yakatutenganisha na wao mfano mimi nipo zanzibar yeye yupo mbeya lakini unakuta jamaa akupigii simu ata miezi sita ata wewe umpigii simu miezi sita lakini sio kwamba kuna shida mahali nope hakuna shida lakini kila hikitokea kakupigia yeye lazima hakuombe kakitu .....

Unakuta jamaa ajakupigia simu kama miezi mitatu hivi lakini hakikupia simu anakuomba pesa
vipi kwa upande wako unaishi vipi na watu namna hii



Kanye west__real friends
 
inakuaje wakubwa ...poleni na mihangaiko ya hapa na pale niende kwenye mada moja kwa moja

kuna aina fulani hivi za marafiki wao apo muda kidogo walikuwa ni marfiki zetu kindaki ndaki lakini baada ya muda maisha yakatutenganisha na wao mfano mimi nipo zanzibar yeye yupo mbeya lakini unakuta jamaa akupigii simu ata miezi sita ata wewe umpigii simu miezi sita lakini sio kwamba kuna shida mahali nope hakuna shida lakini kila hikitokea kakupigia yeye lazima hakuombe kakitu .....

unakuta jamaa ajakupigia simu kama miezi mitatu hivi lakini hakikupia simu anakuomba pesa

vipi kwa upande wako unaishi vipi na watu namna hii



kanye west__real friends
Hivi zanzibar mnatumia USD? Mbeya tunatumia hela ya madafu kujida ugimbi
 
inakuaje wakubwa ...poleni na mihangaiko ya hapa na pale niende kwenye mada moja kwa moja

kuna aina fulani hivi za marafiki wao apo muda kidogo walikuwa ni marfiki zetu kindaki ndaki lakini baada ya muda maisha yakatutenganisha na wao mfano mimi nipo zanzibar yeye yupo mbeya lakini unakuta jamaa akupigii simu ata miezi sita ata wewe umpigii simu miezi sita lakini sio kwamba kuna shida mahali nope hakuna shida lakini kila hikitokea kakupigia yeye lazima hakuombe kakitu .....

unakuta jamaa ajakupigia simu kama miezi mitatu hivi lakini hakikupia simu anakuomba pesa

vipi kwa upande wako unaishi vipi na watu namna hii



kanye west__real friends
Niwe tu muwazi sipendagi kabisa uandishi wa hivi mfano neno "Ikitokea" mtu anaandika "Hikitokea"
Neno "akikupigia" umeandika "Hakikupigia" Yaani matumizi ya "H" sehemu isiyostahili!
Halafu cha ajabu unakuta watu kama hawa mmeajiriwa na serikali ya CCM
 
inakuaje wakubwa ...poleni na mihangaiko ya hapa na pale niende kwenye mada moja kwa moja

kuna aina fulani hivi za marafiki wao apo muda kidogo walikuwa ni marfiki zetu kindaki ndaki lakini baada ya muda maisha yakatutenganisha na wao mfano mimi nipo zanzibar yeye yupo mbeya lakini unakuta jamaa akupigii simu ata miezi sita ata wewe umpigii simu miezi sita lakini sio kwamba kuna shida mahali nope hakuna shida lakini kila hikitokea kakupigia yeye lazima hakuombe kakitu .....

unakuta jamaa ajakupigia simu kama miezi mitatu hivi lakini hakikupia simu anakuomba pesa

vipi kwa upande wako unaishi vipi na watu namna hii



kanye west__real friends
Hakikupigia lazima hakuombe kitu. Kama ndiho hivo basi husimupe kitu hachana nahe.
 
Niwe tu muwazi sipendagi kabisa uandishi wa hivi mfano neno "Ikitokea" mtu anaandika "Hikitokea"
Neno "akikupigia" umeandika "Hakikupigia" Yaani matumizi ya "H" sehemu isiyostahili!
Halafu cha ajabu unakuta watu kama hawa mmeajiriwa na serikali ya CCM
kweli mkuu kama mimi nimeishia form one niishindwa kuendelea na shule kiukweli hata matumizi ya R na L nimejua hivi karibu
aya maujanja yakutumia mitandao nimejifunza juzi juzi so i still learn bro sorry kwa uandishi mbovu ila umeelewa nadhani lil bro
 
naweza pata maarifa zaidi kutoka kwako kuhusu hilo ni vipi naweza tofautisha kati rafiki na jamaa
Jamaa/swahiba ni mtu wako unayejuana naye, Anaweza kuwa jirani au mfanyabiashara mwenzio.
Rafiki- Ni mtu wako wa karibu mnayesaidiana kwenye shida na Raha.
Kwahiyo kazi kwako kutambua kwamba huyo wako ni rafiki ama jamaa/swahiba??
 
Inakuaje wakubwa ...poleni na mihangaiko ya hapa na pale niende kwenye mada moja kwa moja

Kuna aina fulani hivi za marafiki wao apo muda kidogo walikuwa ni marfiki zetu kindaki ndaki lakini baada ya muda maisha yakatutenganisha na wao mfano mimi nipo zanzibar yeye yupo mbeya lakini unakuta jamaa akupigii simu ata miezi sita ata wewe umpigii simu miezi sita lakini sio kwamba kuna shida mahali nope hakuna shida lakini kila hikitokea kakupigia yeye lazima hakuombe kakitu .....

Unakuta jamaa ajakupigia simu kama miezi mitatu hivi lakini hakikupia simu anakuomba pesa
vipi kwa upande wako unaishi vipi na watu namna hii



Kanye west__real friends
Huyo siHo rafiki ni muHomba hela tu.
Hachana nahe.
 
Niwe tu muwazi sipendagi kabisa uandishi wa hivi mfano neno "Ikitokea" mtu anaandika "Hikitokea"
Neno "akikupigia" umeandika "Hakikupigia" Yaani matumizi ya "H" sehemu isiyostahili!
Halafu cha ajabu unakuta watu kama hawa mmeajiriwa na serikali ya CCM
Nakazia
 
Back
Top Bottom