Zero IQ
JF-Expert Member
- Dec 21, 2016
- 13,959
- 24,935
Kama mnavyojua wana Jf leo nimewaletea aina mbili za Mke Aina zenyewe ni hizo hapo[emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116]
1:Aina ya kwanza ni mke anayemsikiliza mumewe, anayemtii na kuelewa anachotaka, mpole, mvumilivu, mwenye subra.. Na hata mumewe anapokasirika yeye humtuliza kwa tabasamu linalovutia...
2: Na aina ya pili ni yule mke ambae kila mmoja anae hapa usiulize sifa zake nafikiri kama una mke utakuwa unazijua..!
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
Good day.!
1:Aina ya kwanza ni mke anayemsikiliza mumewe, anayemtii na kuelewa anachotaka, mpole, mvumilivu, mwenye subra.. Na hata mumewe anapokasirika yeye humtuliza kwa tabasamu linalovutia...
2: Na aina ya pili ni yule mke ambae kila mmoja anae hapa usiulize sifa zake nafikiri kama una mke utakuwa unazijua..!
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
Good day.!