Kuna aina ngapi za misuli?

mambo yanabadilika sasa hivi kuna sayari nane sio tisa tena pitia kitabu cha physics kidato cha nne
 

PhD iko sawa. Doctor of Philosophy (PhD). Fuatilia
 
mambo yanabadilika sasa hivi kuna sayari nane sio tisa tena pitia kitabu cha physics kidato cha nne

Hatukatai, tatizo ni uandishi usio na tija na wa kukurupuka. Kama umesoma mathematics chukua kitabu cha Nyambari book 4, angalia mtiririko wake na worked example hasa probability then urudi hapa ku support
 
Kweli mabadiliko yanahitajika.
Me nakumbuka nilipokuwa kidato cha tano vilikuja vitabu vya historia na geografia shuleni (darasani) vikatangazwa na wanafunzi wakavinunua, cha ajabu akaja mwalimu wa somo la geografia akadai eti vitabu vile ni vya danganya toto na havitakuwa na usaidizi kama ilivyodhaniwa awali.Sasa wanafunzi tukabaki tunajiuliza hivi vitabu vimechunguzwa na walimu wa masomo husika ndio vikapitishwa kwa mwalimu mkuu, sasa iweje tena viwe havina msaada kwetu .
 

yani kuna mchanganyiko wa hali ya juu
 
mambo yanabadilika sasa hivi kuna sayari nane sio tisa tena pitia kitabu cha physics kidato cha nne

unajua kuna vitabu vingapi vya physics vya form four?
 

yani nakubaliana na wewe 100% ni kama njama za makusudi kuiharibu Elimu yetu na vichwa vikishakuwa vitupu ndio basi tena
 

na hayo mapungufu ndio yanatakiwa kufanyiwa kazi haraka
 
Mimi nimeanza, na nimeanza na wacache wanao nizunguka. What about you?

lolest naona umeamua kuni challenge,to be honest i have done nothing labda uniambie ulivyoanza na mimi nijue naanzaje
 

Mkuu ni Michepuo(Combinations) sio Michepuko.
 
lolest naona umeamua kuni challenge,to be honest i have done nothing labda uniambie ulivyoanza na mimi nijue naanzaje
Angalia mazingira uliyopo, angalia sehem inayohitaji mabadiriko, angalia nafasi yako na uwezo wako katika kufanya mabadiriko then act on it.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…