MONA WA KYEN
JF-Expert Member
- Dec 23, 2016
- 340
- 271
Wakuu namiini mnaendelea vema na shughuli zenu nimekukuwa mshabiki wa mpira lakini kiukweli bado sijaweza kufahamu vema kuna aina ngapi za pitch.
Kiukweli sijawahi kuona mimi binafsi mtu akifunga goli uwanja wa taifa ule mpya aka slide(kuteleza ) huku akishangilia nashindwa kuelewa kwa nini huku ninaona old trafford mtu akifunga anaslide bila matatizo na viwanja vingine vya ulaya darajani, emirate, benabeu, ethadi n.k
Je wanajamvi kuna aina ngapi za pitch?
Nilikuwa naangalia mpira siku moja ule uwanja wa chamazi mpira ukidunda unatoa mchanga kabisa hata shamba la bibi vilevile kaitaba sasa lakini ule mkuu wa taifa mpira ukidunda mchanga hata hauonekani ila watu hawaslide, nisaidieni aina za pitch tafadhali
Kiukweli sijawahi kuona mimi binafsi mtu akifunga goli uwanja wa taifa ule mpya aka slide(kuteleza ) huku akishangilia nashindwa kuelewa kwa nini huku ninaona old trafford mtu akifunga anaslide bila matatizo na viwanja vingine vya ulaya darajani, emirate, benabeu, ethadi n.k
Je wanajamvi kuna aina ngapi za pitch?
Nilikuwa naangalia mpira siku moja ule uwanja wa chamazi mpira ukidunda unatoa mchanga kabisa hata shamba la bibi vilevile kaitaba sasa lakini ule mkuu wa taifa mpira ukidunda mchanga hata hauonekani ila watu hawaslide, nisaidieni aina za pitch tafadhali