sio hvo joseph maisha sometimes yanakuwa kinyume na tulivotarajia ujue.tunapanga mungu nae anapanga shetani nae anapanga.relationship ni watu wawili,ila kumbuka kila mtu ana akili zake na moyo wake.unavoingia kwenye relationship wewe unaweza kuwa una malengo mazuri tu na huo uhusiano sasa mwenzio sasa???? ila yote maisha we have to go back and enjoy life brother?????????Kama mtu unajiamini kuwa huchakachuliwi hovyo na siku zote unafanya maamuzi mazuri katika mahusiano kwanini uende kupima?Inaonekana siku hizi wapenzi wengi si waaminifu na ndio maana wakiachana kila mmoja hukimbilia kwenda kujua afya yake kwa kuhofia maambukizi,hongera babii kwa majibu mazuri!
acha tu shosti ukimwi ni noma yaani kipimo kinatisha kile kidogo nife jamaniShosti hongera sana manake sikuizi mtu anaiogopa damu yake mwenyewe, mie nipime leo lakini kesho ukinambia niende tena ntaumwa tumbo,utadhani naenda kuzaa...lol
wewe ni kilaza uliza kama huelewi thread
ahahaaa ni soo mtu asikuambie kidogo nife aisee yaani hofu ni mbaya sana
mmmmmh interesting?????Hofu hii unayoisema uliipata hapa mpaka kidogo ufe NDIYO UKIMWI wenyewe, HOFU au stress kwa kiingereza hukausha maji mwilini. Wale watetezi wa mada kuwa kuna kitu kinaitwa hiv ambacho husababisha AIDS watalipinga hili kwa utetezi kuwa watu hupewa ushauri kabla ili kuwaondolea hofu hii!, wakati mke wangu mjamzito tulienda pamoja kriniki na tulishauriwa kuhusu hiv kwa muda kama wa dakika 40 hivi kisha tukaambiwa tupime!, mtu anaweza kuondolewa hofu kwa ushauri wa nusu saa?. Inahitajika vipimo wakati huo usiwe ni muda wake wa kutoa jibu la POSITIVE.
Stress equals to dehydration and dehydration will cause further stress. but water is LIFE. Hofu huleta baadaye magonjwa mengi bila idadi mpaka kudhoofisha kinga ya mwili!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!. AIDS can not be caused by HIV, AIDS IT IS NOT A CONTAGIOUS DISEASE.
majibu yangu yanasema detection of antibodies to hiv -1&2 in human serum<br>
technique- 1 sd bioline<br>
2 HIV 1 AND 2 DERERMINE(ABBOT IMMUNOCHROMATOGRAPHY <br>
3 UNIGOLD<br>
4 ELISA <br>
<br>
<br>
RESULT NEGATIVE<br>
<br>
<br>
<br>
SWALI MBONA MAJIBU YA KINA SITA YAPO TOFAUTI?<img border="0" alt="" src="http://1.bp.blogspot.com/-08AYRcr8CuE/TqCRs-b-I5I/AAAAAAAABuY/PJZoh8dfsj8/s1600/IMG_3565.JPG">
Una mtu lakini wa kukusaidia katika hilo?mimba sina ndo nataka nibebe sasa loh ?
Kama mtu unajiamini kuwa huchakachuliwi hovyo na siku zote unafanya maamuzi mazuri katika mahusiano kwanini uende kupima?Inaonekana siku hizi wapenzi wengi si waaminifu na ndio maana wakiachana kila mmoja hukimbilia kwenda kujua afya yake kwa kuhofia maambukizi,hongera babii kwa majibu mazuri!
kha umeridi hata mimi yangu niliambiwa kwa mdomo ila nafikiri yaliandikwa kwenye fail ... lol]Bebii nina wasiwasi na hayo majibu yako kama ilivyo kwa yale ya akina Sinta na mwenzake, kwa sababu zifuatazo....HTML:majibu yangu yanasema detection of antibodies to hiv -1&2 in human serum<br> technique- 1 sd bioline<br> 2 HIV 1 AND 2 DERERMINE(ABBOT IMMUNOCHROMATOGRAPHY <br> 3 UNIGOLD<br> 4 ELISA <br> <br> <br> RESULT NEGATIVE<br> <br> <br> <br> SWALI MBONA MAJIBU YA KINA SITA YAPO TOFAUTI?<img border="0" alt="" src="http://1.bp.blogspot.com/-08AYRcr8CuE/TqCRs-b-I5I/AAAAAAAABuY/PJZoh8dfsj8/s1600/IMG_3565.JPG">
1) kawaida ukishapima kwa kipimo cha BIOLINE kikiwa NEGATIVE, hakuna kipimo kingine kinachopimwa, sasa wewe vimepimwa vyote BIOLINE pamoja na DETERMINE.. Kama BIOLINE kikiwa POSITIVE ndo unahakikisha kwa kutumia DETERMINE. UNIGOLD ni cha kukata mzizi wa fitina yaani BIOLINE ikiwa POSITIVE na DETERMINE ikiwa NEGATIVE ndo kinatumika cha UNIGOLD.Majibu yake ndo yatakuwa majibu sahihi.
2) Kwa kawaida majibu ya HIV mgonjwa haandikiwi Form kama yale ya malaria n.k, ila anapewa tu kikadi kidogo na kuambiwa arudi baada ya miezi mitatu kama ni negative au anapewa barua ya rufaa ya kwenda kituo cha walioathirika kama ni positive. Majibu hayaandikwi popote kwenye karatasi anayopewa mgonjwa bali anaambiwa tu kwa mdomo!
Tukirudi ktk suala lako naona liko tofauti na yote niliyoyaeleza hapo juu, hivyo nna wasiwasi kubwa na majibu yako!!!