Ulweso
JF-Expert Member
- May 24, 2016
- 23,111
- 28,020
Hayo hayo matako ndiyo yalimdadisha mpaka kuoa [emoji3]mkuu hapo kwenye matako yake yalishawahi kuninua unit ya umeme aisee tuliza kichwa ndugu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hayo hayo matako ndiyo yalimdadisha mpaka kuoa [emoji3]mkuu hapo kwenye matako yake yalishawahi kuninua unit ya umeme aisee tuliza kichwa ndugu
Aisee wanawake hawa ni balaa. Hawa wa kukumbatia dini wamezidi.Rafiki yangu kipenzi kabisa,Mke wake alikuwa na tabia ya kwenda kanisani kila siku badaye akawa anabadilika kitabia.Jamaa aligundua mke wake anahusiano was kimapenzi na mwanakwaya mwenzake.
Ni mwaka sasa toka watengane.
Umeona eee, jiulize hata siku moja kaamua kuandamana naye huko kanisani? Ajue yanayofanyika huko?Shida sio mlokole shida ni wewe ulieshindwa kuwa mwanaume humo ndani
Sent from my HUAWEI MLA-AL10 using JamiiForums mobile app
Sasa kama Mme hampi muda wakumsikiliza unategemea nini hapo? Mme yupo busy na laptop utazani ofisi zipo mbili?Wanamuheshimu baba mchungaji kuliko mume
Hao wa kwenuAisee kuna jamaa yetu aliowa mjeda hawa mabaka mabaka bidada kabezi huko kanisani humwambii kitu. Mshahara karibu woote wanapeleka huko mume akimwambia anamjibu Zaka, nadhiri, malimbukuko, sadaka basi taflani ndani. Mwisho jamaa kamwacha bidada aendelee na maisha yake na yeye kala kona ndoa chali wamegawana fito hakuna kujenga nyumba moja teena. Ni mwaka wa sita sasa toka watengane.
Nawafahamu ukiacha huyu mwenzangu, kuna jamaa yake nae alikuwa mke wake anaingia huko akampiga marufuku kamuweza. Huyu wa kwangu imagine alikuwa na ujauzito wa miezi kati ya saba au nane, katoka nyumbani saa kumi na moja alfajiri kaelekea kwa Mwamposa kuwahi nafasi za mbele na nimemkataza apumzike kakataa. Katoka nyumbani Kitunda hadi Tanganyika Packers kwa Mwamposa na usumbufu wa usafiri na tumbo kubwa 😭😭 na shida inakuja mama yake ni muumini nambari moja wa hizo mambo na humwmabii kitu kuhusu Mwamposa. Yani humwambii chochote akuelewe aisee kama karogwa.Umeongea yote..,wanafanana tabia. Kuna mmoja nilikuwa sijui kama ni hao nilikuwa namuona mstaarabu mwenye hekima, akata kuniletea pigo hizo..,nikapiga chini.
Anasingizia Ukristo na ulokole je angekuwa mcheza Ngoma au mama shughuli kila kukicha kwakijumbe vipi hapo? Wanafiki tu hawa.Kupotoka kwa mke wako kimaadili ya ndoa na kikristo usiu type ukristo kuwa kuna ukristo wa kishetani. Huo alionao mkeo sio ukristo, ni ushetani unaouona wewe. Kama nawe ungekuwa mnaabudu pamoja usingeona huo ushetani. Hebu jaribu kuungana na mke wako uwe unasali pamoja ili picha ya ushetani ikutoke. Ukristo ni mmoja hakuna aina nyingine zaidi ya upotokaji tu
Je huo mtaji wa kuku ulimpa wewe?Simsemi mke wangu vibaya, ila ndio tumecharurana na saa hizi naenda kulala bar.
Mkiona napost post za kilokole, basi junior kwamba mke wangunni mlokole nguli, ila ulokole wake unanifanya na mimi niwe mlevi nguli.
Mke wangu ana mabanda ya kuku hapa uani, kuku wake wanamulikwa na taa za umeme lukuki kupata joto.
Mi nikiwasha ac au hata feni dakika kidogo tu, tutagombana wiki nzima. Leo katoka shopping ya wiki kakuta najipepea na feni tu, kawasha moto namaliza umeme, utadhani matako yake yameshawahi kununua hata unit moja.
Hii mianamke ya kilokole isiyo na akili msiioe, ni hatari kwa furaha ya nyumba yenu.
Anafuga kuku, ten pasenti inaenda kwa mchungaji. Kuku wakubwa wa mwanzo anawaita limbuko anampa mchungaji, yaani ujinga mtupu.
Kasheshe ni kubwa kuishi na likitu hili. Mchungaji analishwa makuku wakubwa wakubwa, mimi sili kuku hadi nilishwe magendo vibudu vya kuku waliokufa.
Good enough nina mahusiano mazuri sana na watenda kazi wangu, kuanzia bandani, garden hadi jikoni, navujishiwa za ndani zote.
Mara mlokole ajaribu kuniwekea sumu, mara ajaribu kunikisha limbwata, mar amfukuze.mama yangu na ndugu zangu, mara aniambie utakufa mapema, hutakiwi kutuficha mali zako.
Jamani wanawake mmepatwa na kinyamkera gani?
NakaziaKataa ndoa
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Wanamuheshimu baba mchungaji kuliko mume
...tunashuhudia mengi mnoooRafiki yangu kipenzi kabisa,Mke wake alikuwa na tabia ya kwenda kanisani kila siku badaye akawa anabadilika kitabia.Jamaa aligundua mke wake anahusiano was kimapenzi na mwanakwaya mwenzake.
Ni mwaka sasa toka watengane.
Walokole ni mazuzuMke wako ndio bwege lakini sio kutukana dini za watu kwa ushuzi anaofanya mkeo. Hilo ni chaguo lako komaa nae
Hili nalo nenoWalokole ni mazuzu yanayosomewa Bible ikiwa imegeuzwa juu chini
yaani jitu ambalo maandiko yanasema Mungu yupo ndani yake still usiku ukifika linaomba maombi ya kumfunga shetani na mkuu wa anga ambaye anazuia maombi yake yasifike Mbinguni kama sio uchizi ni nini?
😅😅😅😅
Indoctrination ni mbaya sana Mkuu. Ujinga huu ndio uliosababisha hayo yanayoendelea huko kwa kina Mackenzie. Dini ni ulevi mbaya zaidi ya madawa.Walokole ni mazuzu yanayosomewa Bible ikiwa imegeuzwa juu chini
yaani jitu ambalo maandiko yanasema Mungu yupo ndani yake still usiku ukifika linaomba maombi ya kumfunga shetani na mkuu wa anga ambaye anazuia maombi yake yasifike Mbinguni kama sio uchizi ni nini?
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Ukristo ni nini?Yani kwa ujinga wa li mke lako ndo uusiliibe ukristo na ulokole? We gilesi ni zaidi ya mpumbavu faken
Huo ni mchezo wa kuigiza!! Siyo halisi!!!Hawa hapa