Kuna aina ya Ukristo ambayo ni ushetani

Hao wa kwenu
 
Umeongea yote..,wanafanana tabia. Kuna mmoja nilikuwa sijui kama ni hao nilikuwa namuona mstaarabu mwenye hekima, akata kuniletea pigo hizo..,nikapiga chini.
Nawafahamu ukiacha huyu mwenzangu, kuna jamaa yake nae alikuwa mke wake anaingia huko akampiga marufuku kamuweza. Huyu wa kwangu imagine alikuwa na ujauzito wa miezi kati ya saba au nane, katoka nyumbani saa kumi na moja alfajiri kaelekea kwa Mwamposa kuwahi nafasi za mbele na nimemkataza apumzike kakataa. Katoka nyumbani Kitunda hadi Tanganyika Packers kwa Mwamposa na usumbufu wa usafiri na tumbo kubwa 😭😭 na shida inakuja mama yake ni muumini nambari moja wa hizo mambo na humwmabii kitu kuhusu Mwamposa. Yani humwambii chochote akuelewe aisee kama karogwa.
 
Anasingizia Ukristo na ulokole je angekuwa mcheza Ngoma au mama shughuli kila kukicha kwakijumbe vipi hapo? Wanafiki tu hawa.
 
Je huo mtaji wa kuku ulimpa wewe?
 
Hili nalo neno
 
Ukishaanza tu kuwa mfuasi wa hizo imani zao za mchongo automatic hata akili zinaruka.

Angalia maisha ya walokole 90% hufanana kwa kila jambo mpaka kiuchumi hali yao huwa ni moja, umasikin+ufukara ni sehemu ya maisha yao.

Uvivu wa kutumia akili na kutegemea miujiza bila kusahau kuendekeza kuwachangia pesa na mali hao matapeli wanaojiita wachungaji, mitume na manabii.

Kama mke wako anakwenda hayo makanisa mpige marufuku akigoma fukuza akakae na mchungaji wake, kama ni mpenzi achana nae huyo atakutesa hapo baadae.

Walokole wote akili zao ni moja na akili zao zimelegea, kiufupi hawana akili, haiwezekan unaacha mtaani kwako wagonjwa, mayatima na wahitaji huwasaidii lakin unavuka miles+kilomita za kutosha kwenda kupeleka pesa kwa mchungaji+kanisani eti unamtolea Mungu, Mungu gani huyo unamtolea kwa kubagua watu wake wenye uhitaji ambao ndio ndugu zako hapo mtaani?.

Walokole na wenye tabia mbovu kama hizo acheni kupoteza muda wenu huko ktk makanisa yenu ya mchongo, fanyeni kazi, waheshimumi waume zenu, saidieni wahitaji mlionao karibu na sio hao wachungaji.someni biblia zenu msiwe wapumbavu
 
Indoctrination ni mbaya sana Mkuu. Ujinga huu ndio uliosababisha hayo yanayoendelea huko kwa kina Mackenzie. Dini ni ulevi mbaya zaidi ya madawa.

Sent from my M2006C3MG using JamiiForums mobile app
 
Daaaah ndo maana ulipoteaaa kumbeee hujapungua kweli mkuu? weka hata picha tukupe pole
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…