Kuna aina ya Ukristo ambayo ni ushetani

NNi
Nawajua marafiki zangu kadhaa ambao mahusiano yao na wake zao yameparanganyika sababu ya ulokole wa wake zao
 
Toa upumbavu wako hapa
 
What the https://jamii.app/JFUserGuide....!?

Aahaaaa

Fukuza ilo zombie mkuu
 
Bujibuji vita yako ni vita yangu. Kabla ya yote jenga sehemu nyingine mkeo asiijue. Hapo ndio itakuwa kimbilio lako
 
nikipeleka fungu la kumi na hayo malimbuko kwa watu wenye shida kama yatima je ni sahihi?!
 
Mcha Mungu ni lazima amheshimu mume wake na kumsikiliza
Sasa huyu mwanamke anaetoka bila idhini yako halafu wewe ndio uliemuoa na kukubaliana inakuwaje anakuvunjia heshima kiasi hiki?
Yaani nihangaike kutafuta narudi nyumbani nayakuta haya basi huyo sio mke tena

Mkuu poleni sana kwa madhila haya ila sisi wengine kama mimi ninao wawili na heshima zote napata tangu nimewatoa kwao kwa heshima zote
 
nikipeleka fungu la kumi na hayo malimbuko kwa watu wenye shida kama yatima je ni sahihi?!
Biblia haisemi upeleke kwa watu wenye shida, usiishi kwa hisia zako, uishi kwa kutii kile Mungu amesema, Mungu angetaka upeleke kwa watu hao angesema, hajasema hivo na usijichagulie pa kupeleka. wanadamu wengi wan akiburi cha uzima na huwa wanapenda kujitengenezea sheria zao wenyewe wakiamini wao binafsi wanaweza kujitengenezea utaratibu wa kuishi. kutii ni bora kuliko sadaka yako.
 
Mwamposa alikua tabora siku kadhaa zimepita, sio mbaya wadada wenye njaa walikuwepo kutafuta waume niliwatafuna 🀠🀠
 
Mwamposa alikua tabora siku kadhaa zimepita, sio mbaya wadada wenye njaa walikuwepo kutafuta waume niliwatafuna 🀠🀠
Dah! Wanawake hawa wanaoikumbatia dini kwa upande wangu ndio wanawake waliopotoka zaidi aisee. Mimi naweza kumuamini mwanamke ninaekutana nae bar lakini sio hawa wakumbatiaji wa dini na kuzunguka na bible
 
Ulichoandika hapa ni somo la wiki nzi
Hili ni somo la siku tatu kabisa πŸ€œπŸ€›πŸ€
 
Pole saaana Mkuu,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…