Kuna aina ya watu humu Duniani nawachukia sana😠

Kuna aina ya watu humu Duniani nawachukia sana😠

puker

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2018
Posts
1,001
Reaction score
2,010
Habari za muda huu Wana Jf.
Niende Moja kwa Moja kwenye mada husika, Kuna aina ya watu sijui roho zao zikoje, tuseme ndio roho mbaya au vipi.

Nafahamu tumetofautiana tabia na mienendo kutokana na makuzi na mazingira tuliyokulia. Kuna aina ya watu wakikupa kazi. Let say ufundi wa aina Fulani, au shughuli flani hivi yani ni wazito sana kusema kazi imekwenda vizuri hata ufanye kwa ubora wa aina Gani lazima atatafuta kasoro ili tu kuona anakusumbua kwenye kupata malipo yako ikiwezekana hata kukunyima kabisa malipo kwa kigezo Cha kazi haikwenda anavyotaka.

Tabia za hawa watu ziko hivi.

1. Kwanza hawathamini muda, nguvu na akili za watu walizowekeza kwenye jambo husika.

2. hawana huruma hawatambua hicho kipato ni sehemu ya mahitaji ya huyo aliyempa kazi.

3. Hawaoni shida kudhulumu Yani Yuko radhi aonekane mbaya lakini akunyime haki yako

4. Kingine hawaoni shida kukuingiza kwenye hasara na madeni.

Yani kiufupi wanaona hela zao zinapaswa kupokewa kwa jasho, machozi na damu. Aisee hii kitu binafsi nimekutanacho sana kwenye shughuli zangu.

Mimi ni aina ya mtu nikishakuona hvy sioni shida kukuachia hela ila tambua ndio itakuwa mwisho wa Mimi na wewe kufanya kazi.

Je, Ndugu zangu mmekutana na hii dhahma?
 
Habari za muda huu Wana Jf.
Niende Moja kwa Moja kwenye mada husika, Kuna aina ya watu sijui roho zao zikoje, tuseme ndio roho mbaya au vipi.

Nafahamu tumetofautiana tabia na mienendo kutokana na makuzi na mazingira tuliyokulia. Kuna aina ya watu wakikupa kazi. Let say ufundi wa aina Fulani, au shughuli flani hivi yani ni wazito sana kusema kazi imekwenda vizuri hata ufanye kwa ubora wa aina Gani lazima atatafuta kasoro ili tu kuona anakusumbua kwenye kupata malipo yako ikiwezekana hata kukunyima kabisa malipo kwa kigezo Cha kazi haikwenda anavyotaka.

Tabia za hawa watu ziko hivi.

1. Kwanza hawathamini muda, nguvu na akili za watu walizowekeza kwenye jambo husika.

2. hawana huruma hawatambua hicho kipato ni sehemu ya mahitaji ya huyo aliyempa kazi.

3. Hawaoni shida kudhulumu Yani Yuko radhi aonekane mbaya lakini akunyime haki yako

4. Kingine hawaoni shida kukuingiza kwenye hasara na madeni.

Yani kiufupi wanaona hela zao zinapaswa kupokewa kwa jasho, machozi na damu. Aisee hii kitu binafsi nimekutanacho sana kwenye shughuli zangu.

Mimi ni aina ya mtu nikishakuona hvy sioni shida kukuachia hela ila tambua ndio itakuwa mwisho wa Mimi na wewe kufanya kazi.

Je, Ndugu zangu mmekutana na hii dhahma?
wapo hao mkuu nakutana nao sana tu, ila siwachukii na huwa nawapenda sana

Ukishawaelewa hao hawakusumbui dawa yao ni kutowachukia weee wapende tu na kazi ifanye sawa sawa mpaka wakose sababu

Ila kwenye kuwadai huwa sicheki nao kabisa jicho jekundu halafu upo serious, watatoa tu
 
Habari za muda huu Wana Jf.
Niende Moja kwa Moja kwenye mada husika, Kuna aina ya watu sijui roho zao zikoje, tuseme ndio roho mbaya au vipi.

Nafahamu tumetofautiana tabia na mienendo kutokana na makuzi na mazingira tuliyokulia. Kuna aina ya watu wakikupa kazi. Let say ufundi wa aina Fulani, au shughuli flani hivi yani ni wazito sana kusema kazi imekwenda vizuri hata ufanye kwa ubora wa aina Gani lazima atatafuta kasoro ili tu kuona anakusumbua kwenye kupata malipo yako ikiwezekana hata kukunyima kabisa malipo kwa kigezo Cha kazi haikwenda anavyotaka.

Tabia za hawa watu ziko hivi.

1. Kwanza hawathamini muda, nguvu na akili za watu walizowekeza kwenye jambo husika.

2. hawana huruma hawatambua hicho kipato ni sehemu ya mahitaji ya huyo aliyempa kazi.

3. Hawaoni shida kudhulumu Yani Yuko radhi aonekane mbaya lakini akunyime haki yako

4. Kingine hawaoni shida kukuingiza kwenye hasara na madeni.

Yani kiufupi wanaona hela zao zinapaswa kupokewa kwa jasho, machozi na damu. Aisee hii kitu binafsi nimekutanacho sana kwenye shughuli zangu.

Mimi ni aina ya mtu nikishakuona hvy sioni shida kukuachia hela ila tambua ndio itakuwa mwisho wa Mimi na wewe kufanya kazi.

Je, Ndugu zangu mmekutana na hii dhahma?

Mkuu unaonaje majibu haya:-
1.
# Tabia za waajiriwa wengi zimejaa viashiria vya Majivuno. Zinawafanya Watoa kazi (Tajiri) waone kwamba hao waajiriwa hawakumbuki kwamba Tajiri naye alisota sana kuzipata fedha na alitumia akili na kufanya maamuzi (kuibua) mradi huo ambao ndo ameweza kupata ajira.
2.
# Waajiriwa wengi wanafuja au waanatumia vibaya raslimali zinazokabidhiwa kwao ili wazitumie kufanikisha kazi au malengo ya Tajiri/Boss.
Kwa mfano kama ni fundi wa ujenzi, atakata mbao hovyo, atavunja matofali, kama ni dereva ataliendesha gari hovyo, kama ni karani atatumia muda mwingi kupiga stori vitabu ledger books atavijaza vibaya etc.
3.
# Waajiriwa wengi esp. kazi za muda mfupi a.k.a. Kibarua wanatoza malipo kupitiliza i.e. Over charge. Ni walalamikaji sana na kusema uongo e.g. kazi hii ni ngumu sana, nimechelewa kazini kuna mtoto mgonjwa, nilipata dharura, nimefiwa n.k.nk.
4.
# Waajiriwa wengi wanasababisha kuyumba kwa bajeti ya Mradi uliokusudiwa kutokana na Kuchelewa kukamilisha kazi kwa wakati, wengine wanaiba, wengine wanazalisha kazi ndani ya kazi yako (Tajiri) na kusababisha malipo ambayo hayakuwepo awali.
5.
# Waajiriwa wengi wanadhani kwamba Hela za Mwajiri(Tajiri)zipo tuu haziishi na zilipatikana kirahisi - "ukipata tumia; ukikosa jutia" hawatafakari hata kidogo ni "mapito" gani huyu Tajiri alipitia hadi akapata hii fedha ya kuendesha mradi huu ambao ni kwa mradi huu na mm nimepata ajira.
Ila kwa kweli, Mafundi SEREMALA ni funga kazi. Kuwa mwangalifu sana la sivyo Utapasuka kichwa.
 
wapo hao mkuu nakutana nao sana tu, ila siwachukii na huwa nawapenda sana

Ukishawaelewa hao hawakusumbui dawa yao ni kutowachukia weee wapende tu na kazi ifanye sawa sawa mpaka wakose sababu

Ila kwenye kuwadai huwa sicheki nao kabisa jicho jekundu halafu upo serious, watatoa tu
Hata kwenye kuwadai, wape tu tabasamu na uwaambie Naomba HAKI yangu.
 
Dah kuna mmoja kajifanya mjanja kwenye biashara ya gari tulofanya kanichapa za uso 3m nzima kila nikimkumbuka nakosa jibu

Kaja na kanzu kubwa allah allah nyingi swala tano kumbe baradhuli mkubwa ila karma haita muacha salama
Habari za muda huu Wana Jf.
Niende Moja kwa Moja kwenye mada husika, Kuna aina ya watu sijui roho zao zikoje, tuseme ndio roho mbaya au vipi.

Nafahamu tumetofautiana tabia na mienendo kutokana na makuzi na mazingira tuliyokulia. Kuna aina ya watu wakikupa kazi. Let say ufundi wa aina Fulani, au shughuli flani hivi yani ni wazito sana kusema kazi imekwenda vizuri hata ufanye kwa ubora wa aina Gani lazima atatafuta kasoro ili tu kuona anakusumbua kwenye kupata malipo yako ikiwezekana hata kukunyima kabisa malipo kwa kigezo Cha kazi haikwenda anavyotaka.

Tabia za hawa watu ziko hivi.

1. Kwanza hawathamini muda, nguvu na akili za watu walizowekeza kwenye jambo husika.

2. hawana huruma hawatambua hicho kipato ni sehemu ya mahitaji ya huyo aliyempa kazi.

3. Hawaoni shida kudhulumu Yani Yuko radhi aonekane mbaya lakini akunyime haki yako

4. Kingine hawaoni shida kukuingiza kwenye hasara na madeni.

Yani kiufupi wanaona hela zao zinapaswa kupokewa kwa jasho, machozi na damu. Aisee hii kitu binafsi nimekutanacho sana kwenye shughuli zangu.

Mimi ni aina ya mtu nikishakuona hvy sioni shida kukuachia hela ila tambua ndio itakuwa mwisho wa Mimi na wewe kufanya kazi.

Je, Ndugu zangu mmekutana na hii dhahma?
 
Habari za muda huu Wana Jf.
Niende Moja kwa Moja kwenye mada husika, Kuna aina ya watu sijui roho zao zikoje, tuseme ndio roho mbaya au vipi.

Nafahamu tumetofautiana tabia na mienendo kutokana na makuzi na mazingira tuliyokulia. Kuna aina ya watu wakikupa kazi. Let say ufundi wa aina Fulani, au shughuli flani hivi yani ni wazito sana kusema kazi imekwenda vizuri hata ufanye kwa ubora wa aina Gani lazima atatafuta kasoro ili tu kuona anakusumbua kwenye kupata malipo yako ikiwezekana hata kukunyima kabisa malipo kwa kigezo Cha kazi haikwenda anavyotaka.

Tabia za hawa watu ziko hivi.

1. Kwanza hawathamini muda, nguvu na akili za watu walizowekeza kwenye jambo husika.

2. hawana huruma hawatambua hicho kipato ni sehemu ya mahitaji ya huyo aliyempa kazi.

3. Hawaoni shida kudhulumu Yani Yuko radhi aonekane mbaya lakini akunyime haki yako

4. Kingine hawaoni shida kukuingiza kwenye hasara na madeni.

Yani kiufupi wanaona hela zao zinapaswa kupokewa kwa jasho, machozi na damu. Aisee hii kitu binafsi nimekutanacho sana kwenye shughuli zangu.

Mimi ni aina ya mtu nikishakuona hvy sioni shida kukuachia hela ila tambua ndio itakuwa mwisho wa Mimi na wewe kufanya kazi.

Je, Ndugu zangu mmekutana na hii dhahma?
Kwahiyo hasira zako zipo kwenye position ya mafundi tu
 
na ndio haohao ndio wanasababisha watu tunakuwa wachawi!,chap tu naongea na mizimu kesho unaamka na jipu la kwenye kizazi!.. [emoji16]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom