Uchaguzi 2020 Kuna alichojifunza mzee baba hadi sasa?

Uchaguzi 2020 Kuna alichojifunza mzee baba hadi sasa?

Nimeshangaa hata Wasukuma hawataki kumsikia. Shikamooni Bariadi
Aliwaamini sana walio okotwa jalalani

Kuwapoka watu uhuru na haki ni tatizo kubwa. Hakuna wakukuelewa.

Ikija kwenye kuminya biashara za watu hadi kufa hilo nalo jingine.

Usukumani kuliko na tatizo la elimu - kiasi cha matatizo ya kishirikina - mauaji ya wachawi, wazee na hata maalbino, wanaelewa hata maana ya flyover au bombardier?

Msukuma anaweza kuwa nambari one kwenye kumchukia huyu bwana.
 
Huyu mzee sijui alizaliwa vipi ana roho moja ya ajabu sana

Sidhani pana watu wanachukiwa hii nchi kuliko huyu bwana na yule mwanawe mpendwa.

Hapo itifaki zote zikiwa zimezingatiwa.

Wanaofuata kwenye list ni wapambe wao ma lb7. Habari ndiyo hiyo na iwafikie nyote huko mliko.
 
Ukiwapenda baadhi hadharani, ukawaonesha chuki hadharani usiowapenda nao HAWATAKUPENDA na hiyo pekee haitoshi BALI HATA WALE UWAPENDAO DHAHIRI SIO LAZIMA WAKUPENDE!!
FALSAFA: UTALIPWA KWA MATENDO YAKO NA KILA APANDAE MIBA ASITARAJIE KUVUNA PARACHICHI BALI AKIPANDACHO.
 
Ccm ni wajinga kiasi gani ninyi?
Watu wakiwa wengi kwenye mikutano ya Lissu mnasema siyo wapiga kura, hawana kadi, hawajajiandikisha, wapiga kura wapo mtaaani.
Watu wakiwa wengi kwenye mikutano ya ccm(maanna huwa wanakuwa wengi waje kuona tamasha la mziki na wapiga mitama) huwa mnasema hao ndo wapigga kura na kuwa jiwe anakubalika.
Huu upuuzi wenu huu mnajidanganya sana, mnajitekenya kisha mnacheka wenyewe, ukweli mnaujua wenyewe, jiwe hakubaliki, ameshapoteza mvuto!
Tatizo lako na wewe ni zao lilelile la mnaofikiri Lisu atashinda kwa kura za hapa jf na twiter!

Kushinda urais wa tz ni zaidi ya kukoment hapa jf au kule kwa ndugu yenu kigogo,!

Huwa nawaambia kila siku hapa kwamba wakati NEC imetangaza watu kwenda kuboresha taarifa zao kwenyw daftari la mpiga kura nyie humu humu mitamdaoni mlikuwa mna beza na kuhamasishana msiende kujiandikisha, huku wajumbe wa ccm wakipita kila nyumba kuhamasisha watu kwenda kwenye hilo zoezi.

Haya kama unaakili unapata picha gani hapo?
Huyo Lisu atapigiwa kura na mawe?

Hivi siju mnafikiria kushinda urais ni sawa na kushinda nafasi ya umonitor darasa la nne?!
 
Ukiwapenda baadhi hadharani, ukawaonesha chuki hadharani usiowapenda nao HAWATAKUPENDA na hiyo pekee haitoshi BALI HATA WALE UWAPENDAO DHAHIRI SIO LAZIMA WAKUPENDE!!
FALSAFA: UTALIPWA KWA MATENDO YAKO NA KILA APANDAE MIBA ASITARAJIE KUVUNA PARACHICHI BALI AKIPANDACHO.

Ni vyema mzee baba akajua kwa chuki iliyopo amekuwa akipanda miba.
 
Umefungua hiyo attachment lakini? Au ndo kihoro mzee?

Cheki shangwe hilo nyomi likiimmba 'TUMEMCHOKAA MAGU FULII' !
Sasa kuna shida gani wafuasi wa chadema kuimba hivyo?

Hivi itakuwa ni ajabu wafuasi wa ccm kuimba wameichoka chadema?
 
Back
Top Bottom