Crimea
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 25,874
- 36,030
Sawa.. Tukutane oktobaJamani umeandika kwa unyonge sana [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa.. Tukutane oktobaJamani umeandika kwa unyonge sana [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nimeshangaa hata Wasukuma hawataki kumsikia. Shikamooni Bariadi
Aliwaamini sana walio okotwa jalalani
Yani ulitaka akae tu asiombe kura?
Huyu mzee sijui alizaliwa vipi ana roho moja ya ajabu sana
Umefungua hiyo attachment lakini? Au ndo kihoro mzee?Yani ulitaka akae tu asiombe kura?
Kwa Magu hizo kampeni zake ni kukamilisha ratiba tu.
Lisu ajiandae tu kisailolojia
Urais siyo kusimia kesi za MIGA
Kumbe mabunduki wanayoringia Ni bure kabisa
Tatizo lako na wewe ni zao lilelile la mnaofikiri Lisu atashinda kwa kura za hapa jf na twiter!Ccm ni wajinga kiasi gani ninyi?
Watu wakiwa wengi kwenye mikutano ya Lissu mnasema siyo wapiga kura, hawana kadi, hawajajiandikisha, wapiga kura wapo mtaaani.
Watu wakiwa wengi kwenye mikutano ya ccm(maanna huwa wanakuwa wengi waje kuona tamasha la mziki na wapiga mitama) huwa mnasema hao ndo wapigga kura na kuwa jiwe anakubalika.
Huu upuuzi wenu huu mnajidanganya sana, mnajitekenya kisha mnacheka wenyewe, ukweli mnaujua wenyewe, jiwe hakubaliki, ameshapoteza mvuto!
Ukiwapenda baadhi hadharani, ukawaonesha chuki hadharani usiowapenda nao HAWATAKUPENDA na hiyo pekee haitoshi BALI HATA WALE UWAPENDAO DHAHIRI SIO LAZIMA WAKUPENDE!!
FALSAFA: UTALIPWA KWA MATENDO YAKO NA KILA APANDAE MIBA ASITARAJIE KUVUNA PARACHICHI BALI AKIPANDACHO.
Sasa kuna shida gani wafuasi wa chadema kuimba hivyo?Umefungua hiyo attachment lakini? Au ndo kihoro mzee?
Cheki shangwe hilo nyomi likiimmba 'TUMEMCHOKAA MAGU FULII' !
Field ipi hio ?Ni kwa vile unafuatulia kampeni kupitia twiter account ya kigogo,
Huku field kijana mambo ni mazuri sana kwa JPM.
Basi kwa vile nyie ni wagumu na wabishi tusubiri oktoba.
Hao ni wananchi wamemchoka huyo mzee wako!Sasa kuna shida gani wafuasi wa chadema kuimba hivyo?
Hivi itakuwa ni ajabu wafuasi wa ccm kuimba wameichoka chadema?
I like this quoteOctober chini ya Magufuli hamna uchaguzi, bali kuna maonyesho ya ujinga wa mtu mweusi kwenye box la kura.
Na wako wanaoshabikia kuenezwa kwa chuki hizo kana kwamba madhara yake yanakomea kwa jiraniNi vyema mzee baba akajua kwa chuki iliyopo amekuwa akipanda miba.
Field siyo jf na twiterField ipi hio ?
Pumzi ishakata
Mkuu sasa kama mnajua hivyo si mmwambie Lisu hizo hela bora akanunue kashamba kuliko kuhangaikia kitu ambacho hakipo?I like this quote