Kama ndo hivyo basi inabidi tuanze kuweka vibandiko humu.Usimkatishe mwenzio tamaa kwani hao wanawake mnaowatongoza mitaani,makazini,nk.ndo hawahawa waliokua humu na wana mahitaji ya kuolewa vilevile.Wenza humu wanapatikana sana tu tena bila hata kuweka mabandiko nyota zenu zikiendana mnakutana pm mchezo umeisha
usimwambie mwenzio ajarbu wakati awezi kupata mchand LIVEUtapata...jaribu
Nkutaftie housegirl, au mtu wa kuishi nae yupi?Mi bado sijapata jamani natafuta wa kuishi nae
Upo sahihi Baraka watu wanakutana kwenye basi safarini na wanaoanaUpendo ni popote....Anaweza kukutana na mwanamke kanisan au msikitini ikawa ndivyo sivyo ila hapa akapata mke.Kama uko serious tangaza nia ila kama unatania fahamu pia utataniwa.Jaman napita2 mi narudi kulala
Usimkatishe tamaaUmu huwezi kumpata mke wa kuishi naye .
Labda kama wa kuishi naye humuhumu jf ila kwa nyumbani sidhani kama unaweza kumpata!!
fala tu weweNatafuta friends with benefits. awe mwanamke mwenye pesa.....slide in ma PM if interested!
Tehteh sio kwa tusi hilo.fala tu wewe