Manjagata
JF-Expert Member
- Mar 7, 2012
- 13,942
- 15,371
Achana na hiyo takataka!
Nilikuwa sijui kumbe diploma wote ni vilaza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilikuwa sijui kumbe diploma wote ni vilaza
Tatizo siyo GPA, issue ni kwamba competition ni kubwa mnooo..Bila gpa ya 4 sahau kuhusu MUHAS.
Swadakta! Kwa sasa mtu anayetaka kuchukua udaktari kama hana A au B ya Physics simshauri aende form five. Aende Clinical Medicine ili akipata First Class ana uhakika wa kupata nafasi vyuo vya udaktari. Lakini lazima ahakikishe anaenda vyuo vilivyo serious vya clinical medicine kama Nyaishozi College ya Mbweni Dar.DIploma unaweza kwenda hata ukiwa na 1 na hili wengi hawajui ila kwenye guide sheet(sijui kama inaitwa hivi nimesahau) ya kuchagua kujiendeleza kimasomo baada ya kumaliza form 4 kuna kuchagua kwenda chuo au kujiendeleza form 5 ukijaza chuo basi utapelekwa chuo na haijalishi una 1 au 3 .DIPLOMA SI VILAZA
Hajaribu atapata sifa anazo tatizo ni ushindani maana GPA inayokubalika ni GPA 3.0 ila ushindani unasababisha ata mwenye GPA 4.0 akoseKuna dogo ana 4.7 ila ananisumbua kwa hoffu kaka sitapata kaka sitapata nikaona nije kuumuulizia huku sema dogo genius kishenz form 4 alipiga 1
Kuna cousin wangu kakosa GPA ya 4 na kidato cha alipata div 2,ushindani ni mkubwa sahivi watoto wanapasua sana,matarial yako kiganjaniBila gpa ya 4 sahau kuhusu MUHAS.
Ina useriaz gani nyaishozi au unampigia promo mama chuwa na mumeweSwadakta! Kwa sasa mtu anayetaka kuchukua udaktari kama hana A au B ya Physics simshauri aende form five. Aende Clinical Medicine ili akipata First Class ana uhakika wa kupata nafasi vyuo vya udaktari. Lakini lazima ahakikishe anaenda vyuo vilivyo serious vya clinical medicine kama Nyaishozi College ya Mbweni Dar.
Issue siyo GPA, ila ushindani ni mkubwa mnoo. Wanao hitaji hapo MUHAS ni wengi,kuliko uwezo wa chuo. Na watoto walio faulu ni wengi mnoo. Kumbuka MUHAS na UDOM zinakimbiliwa kwa sababu ya unafuu wa Ada.Swadakta! Kwa sasa mtu anayetaka kuchukua udaktari kama hana A au B ya Physics simshauri aende form five. Aende Clinical Medicine ili akipata First Class ana uhakika wa kupata nafasi vyuo vya udaktari. Lakini lazima ahakikishe anaenda vyuo vilivyo serious vya clinical medicine kama Nyaishozi College ya Mbweni Dar.
Yes ishu ni unafuu wa adaIssue siyo GPA, ila ushindani ni mkubwa mnoo. Wanao hitaji hapo MUHAS ni wengi,kuliko uwezo wa chuo. Na watoto walio faulu ni wengi mnoo. Kumbuka MUHAS na UDOM zinakimbiliwa kwa sababu ya unafuu wa Ada.
Mimi wamiliki siwafahamu ila nimeona products zakeIna useriaz gani nyaishozi au unampigia promo mama chuwa na mumewe