mbona wimbo mzuri tu tena sana, hata hivyo watazamaji wengi sana ndani ya siku mbili 350k, angalia nyimbo zake nyingi hata hiyo ndagushima hajawahi fikisha watazamaji 1m wanjera ndo alijitaidi ina kama 1.2m ila hii inaonyesha dalili atavunja rekodi maana trend yake iko vizuri
nyimbo yake hii kutazamwa mara nyingi kuliko za nyumaAta vunja rekod gani mkuu
[emoji3] [emoji3] [emoji3] hawezi kutoa nyimbo mfululizo atoe aone kama hajatuimbia mabata madogomadogoDuh siku ya pili hajafikisha views 300 aiseee ina maana kiba ndo hatoi wimbo kabisaaaa maana alihaidi wimbo wa ommy ukifikisha views million atashusha vichupa mfululizo
Hahahaaa nimecheka kinoma[emoji3] [emoji3] [emoji3] hawezi kutoa nyimbo mfululizo atoe aone kama hajatuimbia mabata madogomadogo
na mpka sasa kwenye trend ipo no 1mbona wimbo mzuri tu tena sana, hata hivyo watazamaji wengi sana ndani ya siku mbili 350k, angalia nyimbo zake nyingi hata hiyo ndagushima hajawahi fikisha watazamaji 1m wanjera ndo alijitaidi ina kama 1.2m ila hii inaonyesha dalili atavunja rekodi maana trend yake iko vizuri
Ndani ya masaa mawili mond anaweka viewers1mmbona wimbo mzuri tu tena sana, hata hivyo watazamaji wengi sana ndani ya siku mbili 350k, angalia nyimbo zake nyingi hata hiyo ndagushima hajawahi fikisha watazamaji 1m wanjera ndo alijitaidi ina kama 1.2m ila hii inaonyesha dalili atavunja rekodi maana trend yake iko vizuri
hahaaa hata mie sijui kuongea kiswahili
hebu jaribu kutifautisha mantiki ya wimbo mzuri " na mantik ya kuwa na fan base kubwa "" hivi ni vitu viwili ambavyo viko tofauti "" nyimbo nzuri hata wewe waweza kuimba lakini kwakukosa khaki kuwa na fan base kubwa haitokuwa Ina maanisha kuwa nyimbo yako ni mbaya "" yaweza kuwa unekosa management imara yakuweza kukufanyia media wise yakutosha that's why ukawa huna fan base kubwa ""Ndani ya masaa mawili mond anaweka viewers1m
Huyo dogo snitch flan hivi alijua akiside na Kiba atamwangusha Simba,kumbe mchizi anajiunguza mwenyewe hata Team Kiba wanampotezea tu washamshtukia.....Frankly speaking bila unafiki wala kumuonea nimeuskiliza wimbo mpya wa Dimpoz,audio mara 5 na kuangalia video mara 5,sikuamini kama yule ndo Ommy Dimpoz wa Ngagushima,Me n You etc dooh wimbo haueleweki wala nini kwa kifupi mwana siku hizi miyeyusho kabisa amechuja,huko youtube siku ya pili lakin views hata 350k bado hajafikisha.....Ommy kuna Mahali unakosea mdogo wangu kaa chini tuliza kichwa...rudia zile enzi mzee baba,usitembelee nyota ya Ali Kiba utapotea.
Najua kwa Sred hii nakupigia promo kimtindo but umezingua sana ngoma mbovu mno
mada inamuhusu ommy wewe unaleta story za diamond, ndio hua mnafeli mitihani hivihiviNdani ya masaa mawili mond anaweka viewers1m
nyimbo yake hii kutazamwa mara nyingi kuliko za nyuma
Alikiba kaishiwa... hivi omy atafikisha mil3 viewers [emoji23] [emoji23] ...Duh siku ya pili hajafikisha views 300 aiseee ina maana kiba ndo hatoi wimbo kabisaaaa maana alihaidi wimbo wa ommy ukifikisha views million atashusha vichupa mfululizo