Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
U didnt understand me... nausikiliza mara kwa mara sababu naupenda, na si sababu ya kuta kuuelewa vizuri. Halafu kwenye kuupenda mwimbo kuna mambo mengi mno. Kwangu mimi kupiga inform of slow music (napenda muziki wa taratibu sababu unaamsha feelings) na kuchanganya lugha, hasa kinyarwanda, kanikosha mno.haswaaa...wimbo mzuri huwa hauhitaji kuusikiza Mara nyingine iliuweze kuujua uzuri wake ....yaani ukiusikiza kwa Mara ya kwanza tu "" kama kweli wajua mziki .unajua kuwa hii ni hit song
hahaaa...madame "" nilipokuwa nasema kuwa wimbo mzuri hauhitaji kuusikiliza Mara nyingi ilikuubaini "" sikuwa na kukosoa wewe ktika kuusikiliza kwako Mara kwa Mara "" Bali nilikuwa nakazia ile comment yko huku nikiwakosoa wale waliosema wimbo ni mbaya"" yaani nilikuwa Niko pamoja nawe 100%....ndio maana nikasema kuwa vibe ya wimbo mzuri haukuhitaji kuusiklixa Mara nyingi ili ndio uupende "" wajua kuna nyimbo nyingine huwa zina tamba kwaajili ya media kuiforce kupendwa na watu "" but nyimbo nzuri huwa haiko hivyo "" ukiisikiliza Mara moja tu nakuibaini lazima mwenyew utaitafutaU didnt understand me... nausikiliza mara kwa mara sababu naupenda, na si sababu ya kuta kuuelewa vizuri. Halafu kwenye kuupenda mwimbo kuna mambo mengi mno. Kwangu mimi kupiga inform of slow music (napenda muziki wa taratibu sababu unaamsha feelings) na kuchanganya lugha, hasa kinyarwanda, kanikosha mno.
Wanaoingia mtafaruku na dogo wa Tandale wote hukimbilia kwa Kiba...rejea Wema, Jokate na sasa Ommy..bora ya wadada wao walienda kwa amani ila jamaa alienda na kuanzisha malumbano ya mtandaoni wakati yule jamaa alikuwa ni mshikaji wake wa karibu hivyo hata kama kuna tatizo bado lingeweza kutatuliwa hata miaka 10 ijayoAache kujipendekeza kwa Ali Kiba, afanye kazi sio kujilambalamba lips tu.
Duh.. kama mtihani nilifeli, sikuelewa swali.. anyway, Gotcha u hearly. Tuendelee ku support good music.hahaaa...madame "" nilipokuwa nasema kuwa wimbo mzuri hauhitaji kuusikiliza Mara nyingi ilikuubaini "" sikuwa na kukosoa wewe ktika kuusikiliza kwako Mara kwa Mara "" Bali nilikuwa nakazia ile comment yko huku nikiwakosoa wale waliosema wimbo ni mbaya"" yaani nilikuwa Niko pamoja nawe 100%....ndio maana nikasema kuwa vibe ya wimbo mzuri haukuhitaji kuusiklixa Mara nyingi ili ndio uupende "" wajua kuna nyimbo nyingine huwa zina tamba kwaajili ya media kuiforce kupendwa na watu "" but nyimbo nzuri huwa haiko hivyo "" ukiisikiliza Mara moja tu nakuibaini lazima mwenyew utaitafuta
Wanaoingia mtafaruku na dogo wa Tandale wote hukimbilia kwa Kiba...rejea Wema, Jokate na sasa Ommy..bora ya wadada wao walienda kwa amani ila jamaa alienda na kuanzisha malumbano ya mtandaoni wakati yule jamaa alikuwa ni mshikaji wake wa karibu hivyo hata kama kuna tatizo bado lingeweza kutatuliwa hata miaka 10 ijayo
Hahaaaa.. Napenda sana muziki wa 90s. So, usishangae kuipenda new track ya Ommyokay,...namuona Lauryn hill ..hapo yaelekea waujua vyema mziki mzuri
Nambie mkuu
Watu wengi wanashindwa kutofautisha kati ya hit song vs best song.hahaaa...madame "" nilipokuwa nasema kuwa wimbo mzuri hauhitaji kuusikiliza Mara nyingi ilikuubaini "" sikuwa na kukosoa wewe ktika kuusikiliza kwako Mara kwa Mara "" Bali nilikuwa nakazia ile comment yko huku nikiwakosoa wale waliosema wimbo ni mbaya"" yaani nilikuwa Niko pamoja nawe 100%....ndio maana nikasema kuwa vibe ya wimbo mzuri haukuhitaji kuusiklixa Mara nyingi ili ndio uupende "" wajua kuna nyimbo nyingine huwa zina tamba kwaajili ya media kuiforce kupendwa na watu "" but nyimbo nzuri huwa haiko hivyo "" ukiisikiliza Mara moja tu nakuibaini lazima mwenyew utaitafuta
Hahahaaa daah mshikaji umekunywa maji ya bendela kabisa ya wcb maana ww ninkuponda tu upande wa pili. Mbona wimbo mzuri tu.Ni niliona nikae kimya tu maana ukisema utaambiwa team Fulani
Ila ukweli ni hakuna kitu,labda naye aje na kiki ya harusi kisha azindue brand ya mbege ataskizwa.
Tokea zari aachwe unaombea hata usikie domo katupiwa mayayi viza.Achana na wcb wao kiki zao zote zimebuma. Watu wamemkazania ommy sababu ya kubebwa na kiba. Kiba kasema hatoi wimbo mpaka ommy afikishe views 3mil
kabisaWatu wengi wanashindwa kutofautisha kati ya hit song vs best song.
i.e chura ni hit song ila sio best song lakini huu wa ommy ni best song kwa uhakika.
hahaaa nimeielewa sana hii commentTatizo kila mtu ana nafasi ya kukosoa daktari anamkosoa mwanasiasa na wewe sajabu hujawahi ona kifaa hata kimoja lakinj unajitia maujuzi unakuja kujudge mziki
Tokea zari aachwe unaombea hata usikie domo katupiwa mayayi viza.
Ukiiga nyota ya diamond. Angalia utaonesha chupi barabarani kwake yy haonagi vibayaMtu yoyote akijiegemeza kwa alikiba anapotea..
Ali kiba anaendekeza kiburi na uswahili.
Omy anajikaza tu ,ila kipindi yuko na domo alifikaga mbali hadi tukahisi jamaa atakua mrithi wa domo
..
Ningekua msanii mara100 nitembelee nyota ya Diamond..
Haoni akina hamonaizi[emoji23]
Ajikaze tu ivyo ivyo ila kashafeli