Kuna aliyewahi kupata mapenzi humu?

Mwanzo ilikua kuna aliyewahi kupata mpenzi,saizi heading inasomeka kuna aliyewahi kupata "mapenzi".

Ama sikusoma vizuri mwanzo.
 
Mimi nishapata hawa (2)
Ila nilikuja gundua mmoja(1),ni mke wa mtu nikampotezea
 
Nahisi wapo, nina ID yangu ya kike kuna PM nyingi za wanaume humu na namba zao za simu wa etuma ila nawazungusha. Kama kweli ningekuwa dem ningewakubali walao wawili.
Hiyo ID ina Followers, wakati hii ni ya kitambo sina follower hata mmoja.
Duuhhh kaka kwahy umetumia ID ya kike ili upate followers[emoji23]
 
Swala la kupewa wa kufanana naye kwa upande wangu ni gumu mno. Mimi sitaki wa kufanana na mimi tabia, maana najijua.
 
Sijawahi onja mbususu ya Jf asee, hebu nipeni ushuuda ni tamu sana Au hamna maajabu nn[emoji38]
 
Nasoma comments tyuuh mie lol, [emoji23][emoji23]
 
Niliwahi pata msukuma kumbe mme wa mtu alinificha. Ila alikuwa mtamu sana kitandani madikodiko Kama yote . Tatizo lake alikuwa mbahiri sana yaani hela yake huwezi kuipata nikambwaga.
 
Niliwahi pata msukuma kumbe mme wa mtu alinificha. Ila alikuwa mtamu sana kitandani madikodiko Kama yote . Tatizo lake alikuwa mbahiri sana yaani hela yake huwezi kuipata nikambwaga.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…