Kuna aliyewahi kupata mapenzi humu?

Kuna aliyewahi kupata mapenzi humu?

Ngja nibadili ID kwanza kwa maana wananisingizia tu et we muhuni toka apa
 
Niliwahi pata msukuma kumbe mme wa mtu alinificha. Ila alikuwa mtamu sana kitandani madikodiko Kama yote . Tatizo lake alikuwa mbahiri sana yaani hela yake huwezi kuipata nikambwaga.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent from my SM-A715F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom