GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Duuu mkuu unatafuta matusiDakika 50+ unasikiliza Redio! Shemeji anakulea hovyo sana, bure kabisa..!
U-TISS wake hapa unakujaje! Kwani kuwa TISS ni kitu cha ajabu. Halafu tuache ushamba wa kuwachukulia wafanyakazi wa idara ya usalama wa Taifa kama malaika au watu daraja la kwanza ni watu sawa na wewe ila wanafanya majukumu kwa ajili ya Taifa lao.TIsSss huyo
Ni upuuzi sana mkuu, hii hulka imeharibu Sana watu hata wenyewe TISS maana wanajiona watu special Sana japo wengi kwa Sasa mbumbu Ni wengi kuliko uhalisiaU-TISS wake hapa unakujaje! Kwani kuwa TISS ni kitu cha ajabu. Halafu tuache ushamba wa kuwachukulia wafanyakazi wa idara ya usalama wa Taifa kama malaika au watu daraja la kwanza ni watu sawa na wewe ila wanafanya majukumu kwa ajili ya Taifa lao.
Mkuu watanzania ni watu washamba sana, kuna jamaa mmoja nilikuwa nafanya naye kazi ofisi moja. Yule jamaa alisakamwa na karibu ofisi nzima kwa ni TISS hadi mshikaji akawa anaboreka. Unamshangaa mtu na elimu yake tena kubwa anamshadadia mtu kuwa ni TISS.Ni upuuzi Sana mkuu, hii hulka imeharibu Sana watu hata wenyewe TISS maana wanajiona watu special Sana japo wengi kwa Sasa mbumbu Ni wengi kuliko uhalisia
Nimecheka mno Mkuu.....haya bhana..!!!!Dakika 50+ unasikiliza Redio! Shemeji anakulea hovyo sana, bure kabisa..!
Mpenzi wa manara halafu ANAPAKATWAGA huko ughaibuniKwa dakika 50 natafuta ya maana siyaoni sana sana ninachosikia tu ni 'Kujimwambafai' Kwake kingi tu kuwa amekaa Marekani, kaenda CNN, BBC, Facebook, Instagram, VOA, nimeachana na Mke wangu, sina Mke ila nina Watoto Wanne na Upuuzi mwingine mwingi na Ushamba lukuki.
Naomba aliyemuelewa anidadavulie pia.
Dah jamaa anakismat leo hujamporomoshea matusi ntu au notebook yako ya misamiati ya matusi hujatembea nayo..Nimecheka mno Mkuu.....haya bhana..!!!!
Huhahahahahahahahahahahaha.Dakika 50+ unasikiliza Redio! Shemeji anakulea hovyo sana, bure kabisa..!
Duuu mkuu unatafuta matusi
Duuuhhh! Umemstahi sana mkuu; Leo umeamka kiutofauti sana inaonekana!Nimecheka mno Mkuu haya bhana!
Mkuu..huko tissi kuna wajinga wengi tu..TIsSss huyo
Looh pole sana mkuu, naona leo una gundu Sana sijui umeshinda Buguruni kimboka !!!Nimecheka mno Mkuu.....haya bhana..!!!!
Wakongwe Wenzake wakina Iddi Ligongo na Salim kikeke wanpiga kazi kule BBC na VoA na baada ya hapo watarudi bongo kwa Azam Media group Kama walivyofanya Wakongwe wengine Charles Hilary na Tido muhando halafu yeye aendelee kujisifia ujinga.kaenda CNN, BBC, Facebook, Instagram, VOA
🤣 🤣 🤣 🤣Dakika 50+ unasikiliza Redio! Shemeji anakulea hovyo sana, bure kabisa..!
Acha makasiriko mkuuU-TISS wake hapa unakujaje! Kwani kuwa TISS ni kitu cha ajabu. Halafu tuache ushamba wa kuwachukulia wafanyakazi wa idara ya usalama wa Taifa kama malaika au watu daraja la kwanza ni watu sawa na wewe ila wanafanya majukumu kwa ajili ya Taifa lao.
mkuu naona umekua kwa kiwango cha hali ya juuNimecheka mno Mkuu.....haya bhana..!!!!