Kuna anayemuelewa Mtangazaji Maulid Kitenge na 'Interview' yake EFM akiwa na Gerald Hando?

Mpaka hapa umeshamuelewa
 
Duuuuh..... yan Kitenge alikuwa wa kuajiliwa Aljazeera...? Me mbona sioni umaalum wake katika tasnia, au n sikio langu tu ndilo linamsikia vbaya...?
Namuona kama mpiga makelele Radioni mwenye jina kubwa kwenye tasnia.
 
KAMA
ndo hivo nawasiwasi na jamaa, siameachana na mkewe nawasiwasi
 
labda ndo vitu alivyotamani kuvikamilisha katika uhai wake [emoji2375]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…