Mtoboatonge.
JF-Expert Member
- Apr 16, 2013
- 242
- 74
Daah! Si utani hii Offcial hakuna kitu, ila hakuna namna ngoja tuendelee kuitumia tuNimeipakua ila nikiunga inataka nitumie official WhatsApp. Nayo tayari imekula ban
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Daah! Si utani hii Offcial hakuna kitu, ila hakuna namna ngoja tuendelee kuitumia tuNimeipakua ila nikiunga inataka nitumie official WhatsApp. Nayo tayari imekula ban
Wengine had hio official inakataa yan nifull banDaah! Si utani hii Offcial hakuna kitu, ila hakuna namna ngoja tuendelee kuitumia tu
Hiyo AN whatsapp ikoje mkuu naomba linkTumia ANwhatsapp ya wachache na wala haiwezi kuzuilika na official WhatsApp
Wabongo hawawezi kulipiawhatsap badala ya fungia fungia, wangeamua kupiga hela, kwamba kuwe na version 2, hii ya kawaida na premium, premium iwe na features zote kama za gb wasap na iwe ni ya kulipia, ila naona badala ya kunufaika na ubunifu wa wazee wa gb wao wanaleta wivu na kupiga ban... kama ni kitu watu wanapenda basi walipie kidogo iwe win win situation
Mimi kitambo sana nilishafikiwa. Gb ilikuwa poa sana niliwanyanyasa wasio juaUtafikiwa tu, hii operesheni haimuachi mtu. Nami nilikuwa natumia vizuri tu mpala jana nilipokutana na mauzauza.