Kuna anayetumia GB WhatsApp anipe mrejesho?

Wabongo hawawezi kulipia
 
Utafikiwa tu, hii operesheni haimuachi mtu. Nami nilikuwa natumia vizuri tu mpala jana nilipokutana na mauzauza.
Mimi kitambo sana nilishafikiwa. Gb ilikuwa poa sana niliwanyanyasa wasio jua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…