Kuna atakayethubutu kuikemea Ofisi ya Msajili wa Vyama hasa Naibu mbele ya Rais hapo kesho?

Kuna atakayethubutu kuikemea Ofisi ya Msajili wa Vyama hasa Naibu mbele ya Rais hapo kesho?

Mpinzire

JF-Expert Member
Joined
Jan 18, 2013
Posts
7,503
Reaction score
13,463
Wakati bado najiuliza nani ataenda kuiwakilisha NCCR Magaeuzi kwenye kikao cha viongozi wa vyama vya siasa na Mh Rais, ila bado napata swali mwenyewe! Hivi walivyo wanasiasa wetu kesho unatarajia nn? Kusifia tu na kuwa wapole ama watathubutu ata kukemea vitendo vya Naibu Msajili wa vyama vya siasa Ndugu Nyahoza?

Ndugu Nyahoza ni mtu alielalamikiwa sana na Mwenyekiti wa NCCR kuwa yeye ndiye aliepanga mipango yote yakumng'oa James Mbatia na kuwalinda wajumbe kufanya vikao licha ya kuwa na zuia la kimahakama.

Sina hakika, ila kwa jinsi vilivyo vyama vyetu vya siasa, Kesho watakuwa wanasema tu unaupiga mwingi kisha wataambiwa fanyen mikutano then watasherehekea alafu watarudi baada ya miezi kadhaa wataanza kuilalamikia ofisi ya msajili wa vyama vya siasa kuwa inajindesha kwa upendeleo.
20230102_224540.jpg
 
Itifaki zizingatiwe...

Itikadi na sera za vyama hapo sio mahala husika kama ilivyotendeka na kuratibiwa na msajili mkuu wa vyama ndivyo hivyo hivyo taratibu zinapaswa kutekelezwa.
 
Wakati bado najiuliza nani ataenda kuiwakilisha NCCR Magaeuzi kwenye kikao cha viongozi wa vyama vya siasa na Mh Rais, ila bado napata swali mwenyewe! Hivi walivyo wanasiasa wetu kesho unatarajia nn? Kusifia tu na kuwa wapole ama watathubutu ata kukemea vitendo vya Naibu Msajili wa vyama vya siasa Ndugu Nyahoza?

Ndugu Nyahoza ni mtu alielalamikiwa sana na Mwenyekiti wa NCCR kuwa yeye ndiye aliepanga mipango yote yakumng'oa James Mbatia na kuwalinda wajumbe kufanya vikao licha ya kuwa na zuia la kimahakama.

Sina hakika, ila kwa jinsi vilivyo vyama vyetu vya siasa, Kesho watakuwa wanasema tu unaupiga mwingi kisha wataambiwa fanyen mikutano then watasherehekea alafu watarudi baada ya miezi kadhaa wataanza kuilalamikia ofisi ya msajili wa vyama vya siasa kuwa inajindesha kwa upendeleo.View attachment 2467163
usiwacgagulie watu wa kuwawakilisha. Sema idadi kuwa ni 4 kila chama, then waachie vyama viochagure who to join the group
 
usiwacgagulie watu wa kuwawakilisha. Sema idadi kuwa ni 4 kila chama, then waachie vyama viochagure who to join the group
Kati ya ao wa4 kila chama, unahisi kuna chama hakitapeleka Mwenyekit na Katibu?
 
Wakati bado najiuliza nani ataenda kuiwakilisha NCCR Magaeuzi kwenye kikao cha viongozi wa vyama vya siasa na Mh Rais, ila bado napata swali mwenyewe! Hivi walivyo wanasiasa wetu kesho unatarajia nn? Kusifia tu na kuwa wapole ama watathubutu ata kukemea vitendo vya Naibu Msajili wa vyama vya siasa Ndugu Nyahoza?

Ndugu Nyahoza ni mtu alielalamikiwa sana na Mwenyekiti wa NCCR kuwa yeye ndiye aliepanga mipango yote yakumng'oa James Mbatia na kuwalinda wajumbe kufanya vikao licha ya kuwa na zuia la kimahakama.

Sina hakika, ila kwa jinsi vilivyo vyama vyetu vya siasa, Kesho watakuwa wanasema tu unaupiga mwingi kisha wataambiwa fanyen mikutano then watasherehekea alafu watarudi baada ya miezi kadhaa wataanza kuilalamikia ofisi ya msajili wa vyama vya siasa kuwa inajindesha kwa upendeleo.View attachment 2467163
Mama Huyo....
 
Niko hapa muda huu namkemea naibu msajili wa vyama vya siasa.
 
usiwacgagulie watu wa kuwawakilisha. Sema idadi kuwa ni 4 kila chama, then waachie vyama viochagure who to join the group
Alafu issue yangu ni kusemea Nyahozi kwenye mamlaka yake ya uteuzi kuwa anaitumia ofisi vibaya kwa kuanzisha migogoro na chuki! wakimnyamazia leo wajue kesho na kesho kutwa yale ya NCCR yataamia kwao.
 
Alafu issue yangu ni kusemea Nyahozi kwenye mamlaka yake ya uteuzi kuwa anaitumia ofisi vibaya kwa kuanzisha migogoro na chuki! wakimnyamazia leo wajue kesho na kesho kutwa yale ya NCCR yataamia kwao.
Hakunaga maridhiano bila ya kuchapana na akakosekana mbabe.

Lkn sote tunajua, ccm imevichapa vyama vya siasa mpk vimebaki hoi. Kinachofuata ni mbabe CCM kuwapa masharti magumu hawa waliochapwa (eti ndiyo mnaita maridhiano).

Mbowe anaulizwa anasema tushapigwa sana. Hakuna namna nyingine zaidi ya maridhiano (kupokea maelekezo toka kwa mbabe ccm)
 
Hakunaga maridhiano bila ya kuchapana na akakosekana mbabe.

Lkn sote tunajua, ccm imevichapa vyama vya siasa mpk vimebaki hoi. Kinachofuata ni mbabe CCM kuwapa masharti magumu hawa waliochapwa (eti ndiyo mnaita maridhiano).

Mbowe anaulizwa anasema tushapigwa sana. Hakuna namna nyingine zaidi ya maridhiano (kupokea maelekezo toka kwa mbabe ccm)
Ni kweli huwezi kufanya negotiation na mtu kama hakuna kitu anakiitaji kwako! lazima uwe na kitu mkononi cha kumshawishi sio maneno matupu
 
Yaleyale! Tujiandae kupokea ongezeko la machawa
 
Back
Top Bottom