lovebitelol
JF-Expert Member
- Mar 2, 2014
- 964
- 972
Ukitaka kuongezeka uzito na mwili pata pesa tuu ndio dawa yakena mimi naomba ushauri,nile nini ili niongezeke kilo..kilo zangu zinarange 38-42 ..na last month nilikuwa na 39
urefu 150 cm
umri 26
sawa boss
Nimejarib kufikilia kufanya hili yaan kuacha kula msosi kabisa kwa mwez mzima yaan hata ikitokea bas ni maziwa fresh tu au supu ya samaki mara moja moja sana je bado kutakua na madhara km usemayo kwani? Maana uzito wangu ni mkubwa sana mkuu.... sasa nataka nianze huu mfumo nione km tapungua au lah? Ila madhara ya moja kwa moja je hayatakuepo hapo
angalia matunda ya kula wakati huu unataka kupunguza kilo mi nilikua nakula chakula kidogo mno kuliko kuacha kula mfano ukila ndizi maembe apo ujafanya kitu matunda ya kula ni water melon [emoji525] pineapple [emoji531] tango apple [emoji520] nk we unatakiwa kuangalia calories tu kwenye matunda ila nikushauri tu punguza chakula mfano kama wali kula lakin weka kwenye kisosi yan kidogo mno ugal tonge 5 yan uguse guse tu utapungua
Sent from my iPhone using JamiiForums