Mpauko
R.I.P
- Jan 19, 2019
- 2,323
- 3,428
Maisha ya siku hizi bwana.. Yamefanya baadhi ya mambo yamekuwa kama sheria...hebu ona..
Chai na chapati mbili...
Kulala peke yako na kujambia kwenye shuka...
Kutembea na chaji au usb....
Kama hutaki kumkopesha mtu unamtaja tu magufuli...
Tuongezee mengine sasa....
Chai na chapati mbili...
Kulala peke yako na kujambia kwenye shuka...
Kutembea na chaji au usb....
Kama hutaki kumkopesha mtu unamtaja tu magufuli...
Tuongezee mengine sasa....