Kuna baadhi ya wanawake si watu wazuri

Na ashukuru kamuwahi.... Uwekezaji ambao angeufanya , alafu mwisho Demu akamuacha jamaa


Kajamaa kako kangejiua, sababu kangekumbuka maneno ya Mama mzazi..kangejiona Fala!!


Kuna mdau humu kasema...DEMU BILA PESA HAKUPENDI......

Khan mwenzako kamnunulia Demu gari+ akakataa kumsikiliza mama yake + akananua gar kumuonyesha dem kua anampenda [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]


Mkuu Zero IQ yeye anamchakata bila hiyana bila gharama.



Mwanamke usipomjua, ATAKUPA TABU SANA !!!


Jifunzeni kushika mioyo ya watu nasio vitu .................

Kuna mtu kadiri ulivyoukamata moyo wake, kila akiwaza kukusaliti ANAISHIA KULIA WEE NA KUOMBA SHETANI AMPITIE MBALI...na hapo hauna pesa wala nn!!
 
Mkuu ama kweli watu wengi tunafikiri tofauti Aisee.. mimi ili nijifeel comfortable kwenye mahusiano niwe na pesa!
 
Kwel kabisa
 
"MPENDE JIRANI YAKO KAMA UNAVYOIPENDA NAFSI YAKO"

Kosa kubwa sana ni kusoma Biblia kama gazeti badala ya kumwomba Roho Mtakatifu aongoze akili zetu kuielewa vzr.



 
ni leo ndio umegundua hilo?

Tangu hawa viumbe wanilaze sentrooo,siwatamani hata kwa bure

Napita nao mbali sana,maana yule pimbi aliekua na basha mkuu wa kituo

akasababishwa nikafichwa sentrooo wiki nzima nalishwa mkate
 
Mkuu ama kweli watu wengi tunafikiri tofauti Aisee.. mimi ili nijifeel comfortable kwenye mahusiano niwe na pesa!
Upo sahihi kabisa mkuu 100% ,na nikweli Pesa ndani ya mahusiano ni muhimu sana.

Ila hizi pesa tuzitafute kwa ajili ya maisha yetu ......


Tusizigeuze kua Sehemu ya ulinzi kwa mwanamke nakihakikishio kua sasa umemkamata sababu unampa kila kitu.

Madem hawana kanuni..

Huyu kanunua Gari..lkn Dem analiwa na Zero IQ mkaanga chips.

Mwingine ye demu wake, analiwa najamaa mwenye pesa kuliko yeye[emoji23][emoji23]


Nini Basi mwanamke anataka??? NI SWALI AMBAO WASOMI NASISIS TUSOKUA WASOMI HATUJALIPATIA JIBU.


sanasana, tunajitahidi kuwasoma kutokana na mazingira
 
Kuna tafiti nilisoma inasema 'You never know your woman.
 
Mtu mkimya akikasirika ndio anavyokua,

Ila jamaa ana haraka sana, angesubiri baada ya kuoa ndio angefanya yote hayo, hata hizo hasira zinatokana na alivyomgharamia mwanamke wake, alafu lijamaa linakuja Kula tu bila kunawa.

Hawa viumbe ni wa ajabu sana.
 
Siwewe hauna, wazaz wako awana na wanalala mbavu za mbwa alaf vijana wengi wanaofanya ivyo maisha ya kwao walipo toka yanakuwa duni sana, wakifika mjini wanajifanya watoto wa kishua.
Unamnunuliaje gf gari wakati wewe hauna?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Unforgetable
 
ni leo ndio umegundua hilo?

Tangu hawa viumbe wanilaze sentrooo,siwatamani hata kwa bure

Napita nao mbali sana,maana yule pimbi aliekua na basha mkuu wa kituo

akasababishwa nikafichwa sentrooo wiki nzima nalishwa mkate
Upo wapi mkuu??Mimi nanunua huo ugomvi
 
Rafiki yako ni mshamba na limbukeni wa wanawake
yaliyompata anastahili labda ndo dawa ya ulimbukeni wake
Alafu unaweza kuta baada ya ugonvi kwisha kidume ndiyo kiliomba msamahaa kwa demu wake!!!
 
bila shaka ulilia sana profesa!
alilia yeye,akakosa wa kumwachia mtoto ili aendelee na masomo,ilibidi awe anakaa na house girl huko chuoni wa kumwachia mtoto,maisha yake yalichange sana,sema Mungu ni mwingi wa rehema..
 
Kuna jamaa yangu juzi alinihadithia ye ana demu wake ni mwalimu.Pia wamezaa mtoto mmoja wa kiume halafu mshikaji ashamtambulisha kwa ndugu zake hata mama yake anamjua sema kupitia picha tu.Mshikaji anasema dem so mzuri wala nini ila ametokea kumpenda kuliko wanawake wote alokuwa nao.Sasa bana kuna siku anazunguka zunguka nyuma ya nyumba akachungulia dirishani yaan chumbani kwao anamuona mchumba wake yupo uchi ameshika simu kama anajirekodi.Kufatilia Akakuta kumbe kuna mchungaji anamtumiaga picha za utupu na video.Demu mwenyew mnyakusa.
 
hahahahahaha.....daaaah hii Dunia bwana,tunishi kama mifugo,kila mtu anaamua ampande yupi
 
Huyo Rafiki yako kweli anajua kupenda, yeye hana Gari anamnunulia Mpenzi Gari.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…