Kuna baadhi ya wanawake si watu wazuri

Kilichofuata baada ya hapo? maana umeweka pozi katikati ya chorus Bosi
 
mi bwana nlikua na demu wangu ye yuko ud mi niko udom..ni wa kawaida ila kwakua hajatumika sana nkaona hapa ntaoa,,ingawa ye alikua anaona namchukulia poa..kumaliza mwaka wa tatu paap tumerud kitaa na tulikua hatujaonana..nikasikia wahuni wananipa hongera ya kumtia mtu mimba..nikasema sasa hii miujiza ya mwamposa imefka mbali..siku tumeonana tena alikua ananikwepa...kumbe tumbo limejaa..akaanza kulia..mi nkamnyamazisha...nikamchukulia pikpik ad kwao ...nikawa napga nae stor..nampelekea ukwaju..ubuyu..yani kama am okay...mbaya zaid maza akaanza kuwaambia shoga zake kua anatarajia mjukuu...alivojifungua salama..nikakata mguu...na no nkafuta..baada ya miez sita akaanza kuntafta anasema anataka mboo tuu,,maana ndo kitu hajapata vile amezoea...nikampa masharti kua yupo mwenzie hvo wivu sitaki..basi saiv namlaaa tuu ...akiwepo mwenzie namwambia usije....hadithi hii inatufundsha tusiwekeze moyo wote kwa wanawake
 
Upo wapi mkuu??Mimi nanunua huo ugomvi
ugomvi ulitokea mwanza mkuu

Ila mimi kwa sasa SIPO HUKO

tuwasamehe maana kama ni adhabu nadhani Mungu alisha waadhibu

Yule mkuu wa kituo katolewa nyota yake

Saivi kabaki na u staff sergent

Huyu kivuruge wangu,ana zaa kila iitwayo leo

Hadi sasa kama sikosei ana watoto 6 wa baba tofauti

Adhabu hizo zinawatosha kabisa maalim
 
Unamnunuliaje mchumba gari,ilihali wewe huna?
Hizi si akili,ni ulimbukeni wa mapenzi tu,amevuna
alichopanda,ili next time awe mwangalifu.
 
Muwekezaji mjinga sana. Anastahili ujira wa alichowekeza.

Unawekeza kwenye mapenzi tena kwa mtu ambaye bado yupo chuo!? Au hawajui mademu wa chuo?
 
Madhara ya kununua "upendo" hayo.
 
Yaani mimi kila siku nikiona uzi ambao mwanamme analia kisa mapenzi nabaki tu kusema kumbe sijawahi kupenda na nabaki tu na kanuni yangu ile ile kuwa kama hujaona na hata ukiona usiwe na mwanamke moja.
 
Mnatuchosha kila siku tunasema kitu kimoja acheni kujifanya wasamaria wema kwa wanawake hawa wa mjini mtakuja kufa siku si zenu. Mama yako hajawahi kuendesha hata baiskeli unamnunulia mwanamke gari kama sio uzezeta ni nini??.
Kibaya zaidi yeye hana na ukute hata kudrive tu hajui [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mwanaume, usifanye investment kwa mwanamke kisa mna uhusiano.
Bora hata usomeshe watoto yatima watakumbuka kuwa Kuna msela alitulipia ada.
Hawa viumbe hata Mungu mwenyewe hawaelewi mpaka Sasa.
Kuna jamaa yangu karibuni kamnunulia mkewe gari ili awe anarahisisha kwenda na kurudi kazini.
Kuna siku akawa anaiona na msela mwingine.
Mtego wake aliouweka ukawanasa siku moja wakiwa hotelini.
Alichofanya Ni kuuza gari na kumzuia mke kwenda dukani akae nyumbani kulea watoto.
Sasa hivi amehama nyumba ameanza maisha mapya. Huyu mwanamke anapelekewa hela ya chakula tu.
 
Huwa nafurahia sana wanaume wezangu wanapolizwa na wanawake. Mtu first priority ni mama mzazi harafu anafuata baba baadae watoto ndipo anafuata mke/mchumba. Mama alikuwa ashamsoma tabia hiyo binti ndio sababu ya kumkatalia kijana wake kuoa tatizo tunawadharau sana wazazi wetu kwa kuwaona wamepitwa na wakati.
 
Huyo mshkaji wako kuna nati zitakuwa zimelegea upstairs... mtu mwenye akili timamu hawezi kumnunulia manzi IST wakati yeye hana huo uwezo...

Jamaa yako ni haki achapiwe na akiendelea na ubwege huo atachapiwa tena .... na this time akichapiwa hatakutana na mwanaume mnyonge wa kumpiga ..
 
Sikua tu kuwa matured, kiukweli maturities kwenye tasnia yeyote ni ngumu sana.
 
Mbona unamlaumu mshikaji wangu pekee lakini pia hamuangalii pia kwa upande wa mwanamke
 
Muwekezaji mjinga sana. Anastahili ujira wa alichowekeza.

Unawekeza kwenye mapenzi tena kwa mtu ambaye bado yupo chuo!? Au hawajui mademu wa chuo?
Wengi naona mnamlaumu mshikaji wangu pekee mbona hamuangalii upande wa huyo mwanamke
 
Mbona unamlaumu mshikaji wangu pekee lakini pia hamuangalii pia kwa upande wa mwanamke
Kupenda blindly ndio kosa la mshkaji wako.
Lakini huyo mwanamke hana ana haki zote za kumpenda mtu yoyote as long as hajafunga ndoa na mtu..

Pia twende mbele turudi hivi unaona inamake sense kwa jamaa yako kuhonga gari kwa dem wa chuo??
Jamaa yako ni mpuuzi tu. Walishasema toka kotambo hawa wanawake tuishi nao kwa akili lakini jamaa yako akaamua kutumia hisia..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…