Kuna baadhi ya wanawake si watu wazuri

dah poleni sana kimsingi arudi kwa mama aendelee kuwa naye karibu lasivyo ataendelea kuvurugika. . ...
 
Bora niwe dume suruali tu,ila sihongi above 30k never
 
Be blessed Mkuu
 
Inabidi muelewe tuu, mwanafunzi wa chuo lazima awe na kijamaa chake cha kumsaidia assignment na kuuzia sura kwa wenzake
 
Mimi nilishtuka mapema kua kuna boya atakuwa anamtafuna, nikafanya utafiti wangu kiutulivu kabisa nikapata details zote, siku niliyoamua kuchomoa betri nimemtia usiku mzima, nikaanza kuongea nae kiutaratibu kuhusiana na huyo jamaa akajaa mwenyewe, nikajifanya Nikamwambia sawa basi wewe endelea nae hichi unachofanya sasa ni umalaya kalia sana mimi nipo tayari kukaa pembeni yakikushinda rudi...huu ni mchepuko wangu wa kudumu sasa na kwa ile lifestyle alikuwa nayo chuo bila mimi hawezi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…