Jack Palladino
JF-Expert Member
- Feb 24, 2018
- 7,231
- 22,494
Ssfi sana mkuu!Embassy nakubali sana ubalozi
Kawaida mkuu maisha yanatofsutiana sana. Leo mimi kesho wewe👊Mkuu unakula maisha asee weekend kama hii sina hela asee kweli tumetofautina we ukilia mwenzako anacheka
Sipo Tz mkuu ningefanikisha siku yako.Mwamba jack sababisha hata 5k nile ka kvant isiwe tatizo sana fanya hivo sasa
Uwa napita sana pale. But kuna wanawake nikikaa nao then nikivuta wanasema wanapenda harufu zaidi but hawapendi nivute sigara😅Harufu ya sigara ambayo naikubali ni ile ya kiwandani
Kama ukipita Tazara kwenye kiwanda cha Sigara ile harufu ni nzuri sana
Hata wavutaji mngekuwa mkipiga pafu inatoka harufu ile msingewekewa mipaka maeneo ya kuvuta sigara
Inakua hivo hivo Yani🤣🤣Nimekuwa na mahusiano na wanawake tofauti tofauti walevi, wavutaji na wengine hawavuti sigara ila wengi wao wanasema wanapenda harufu ya sigara nikivuta but hawapendi nivute sigara!
Hivi hii inakuwaje wadau?
View attachment 2489997
Nashindwa kuelewa kabisa mkuu😅😅😅Inakua hivo hivo Yani🤣🤣
Nitaitafuta hiyo mkuu!Achana na uvutaji tafuta perfume og inaitwa tobacco... Waarabu wanaitumia sana hii.
SI kweli mkuu ni sehemu ya kuenjoy tu!Wavuta sigara wote ni mataahira[emoji377][emoji709]View attachment 2490009
Sent using Jamii Forums mobile app
Ile tumbaku ya tazara ni noma mkuuHarufu ya sigara ambayo naikubali ni ile ya kiwandani
Kama ukipita Tazara kwenye kiwanda cha Sigara ile harufu ni nzuri sana
Hata wavutaji mngekuwa mkipiga pafu inatoka harufu ile msingewekewa mipaka maeneo ya kuvuta sigara