Kuna baadhi ya watalii wa kigeni wanaroho mbaya sana


Hivi iliishia wapi
 
Jamaa anawachota akili na nyie mnachoteka mnaanza kumuelekeza😁😁😁😁
 
Mfumo wa maisha ya wanyama pori hautakiwi kuingiliwa. Hivyo ndivyo wanavyoishi siku zote
 
Hoja gani hapo? Hakuna hoja bali kuna wazo la mtu asiyejua yaani mjinga. Kuhusu mpiga picha: Unategemea mtu mwenye roho ngumu ajiue kwa sababu tu ya kusakamwa? Hiyo kujiua inaonyesha kuwa alijua ni kosa alifanya na siyo kuwa alijiua kwa sababu ya kusakamwa. Wanasakamwa watu waliofanya makosa mkubwa zaidi na hawajiui!
 
Ilaumu Serikali yako ndugu! Hapo angeingilia si ajabu angebambikiwa shutums za kutaka kuiba nyara za Serikali, na chochote ambacho angelipa kingeenda kwenye matumbo ya watu.

Mi naumia sana napoona anauliwa mbele yangu sio kwamba sitaka aliwe hapana ila kuuliwa mbele yangu pale anapohitaji msaada wa kumuokoa alafu ndio kwanza unaseti camera vizuri.mi miliwahi okoa sunguea alitaka kuliwa na tai,yaani sungura aliingia mvunguni mwa gari katulia tulia tai kayua juu ya keria ya gari ki nikashuka nikamtimua
 
Reactions: Auz
Mkuu, huyo ng'ombe nae hajauliwa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…