Nipe link mkuuSasa amekuja kuamua ugomvi wa nature au kaja kutalii
We ukiona paka anavizia panya unamfukuza
Sasa wakale wapi gengeni ama
Mnyama anaepewa nyama ni zoo tu ila hao wanajitafutia wenyewe Sasa ugomvi usiomhusu auingilie wa nini?
Kama umewahi kumsikia Kevin Carter basi huyu ndio ungemtukana sana na hata kulia kwa uchungu
Alikuwa anarekodi vulture akimsubiri mtoto wa kike afe ili amle
Ilikuwa mwaka 1993 huko Sudan
Dunia nzima ilimlaani ila alikuwa best photographer na alipewa tuzo NY
Baada ya miezi 4 tangu apate tuzo alijiua mwenyewe
Alishindwa kuvumilia maneno kwani angeweza kumsaidia yule mtoto na hata kumpa maji na chakula pia kumpeleka katika kambi ya wakimbizi iliyokuwa nusu maili tu kutoka hapo
Sasa yeye anasema alikuwa anafanya kazi ya kuripoti matukio anaeliwa sio kazi yake
Hii picha iliniliza pia
Na hao Simba na fisi wakale?Yaani unakuta mtalii tena mgeni yuko mbugani na mikamera yake alafu akikuta mnyama anaekula mnyama mwenzake kama fisi simba au chui anataka kula mnyama badala ya kumsaidia huyo mnyama anaeliwa asiliwe eti ndio kwanza anaseti kamera vizuri kushoti video mnyama anavyoliwa.
Kinachouma zaidi unakuta mnyama kama twiga au pundamilia na nyati ambae serikali ndio inawathamini zaidi ndio wanauwawa, badala ya kuzuia wanawaacha. Inauma sana/nimeumia sana, hawa watalii hata kama wanatuingizia hela nimewachukia sana.
Mbona kwao wanyama wao wanawapa nyama, tena mara nyingi naona ya ng'ombe hawaachi wakaua ovyo ovyo kama huku kwetu? Au wanafurahia wanyama wetu wanavyouliwa?
Naomba kideo mkuu pmIle picha hii hapa chiniView attachment 2572917
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Inauma sana na simba anaua kwa sifa pale anapoona camera inammulika
🤣🤣🤣🤣🤣 Wastendi bwana!!Sio afe njaa.ale auwe hajalatazwa ila sio mbele ya mgeni .wakati mwingine anaua alafu hata hali anaacha hapo
Ni kweli inatia simanziMi naumia sana napoona anauliwa mbele yangu sio kwamba sitaka aliwe hapana ila kuuliwa mbele yangu pale anapohitaji msaada wa kumuokoa alafu ndio kwanza unaseti camera vizuri.mi miliwahi okoa sunguea alitaka kuliwa na tai,yaani sungura aliingia mvunguni mwa gari katulia tulia tai kayua juu ya keria ya gari ki nikashuka nikamtimua
Kuchinja sio kuuwa.Yeye walichinja hawajaua kwa kunyonga kama simba
Ww unahuruma za kijingaYaani unakuta mtalii tena mgeni yuko mbugani na mikamera yake alafu akikuta mnyama anaekula mnyama mwenzake kama fisi simba au chui anataka kula mnyama badala ya kumsaidia huyo mnyama anaeliwa asiliwe eti ndio kwanza anaseti kamera vizuri kushoti video mnyama anavyoliwa.
Kinachouma zaidi unakuta mnyama kama twiga au pundamilia na nyati ambae serikali ndio inawathamini zaidi ndio wanauwawa, badala ya kuzuia wanawaacha. Inauma sana/nimeumia sana, hawa watalii hata kama wanatuingizia hela nimewachukia sana.
Mbona kwao wanyama wao wanawapa nyama, tena mara nyingi naona ya ng'ombe hawaachi wakaua ovyo ovyo kama huku kwetu? Au wanafurahia wanyama wetu wanavyouliwa?
Hiyo ndio nature na ecosystem ....ukizuia umeingilia mfumo wa maisha wa mbugani haifai kabsaYaani unakuta mtalii tena mgeni yuko mbugani na mikamera yake alafu akikuta mnyama anaekula mnyama mwenzake kama fisi simba au chui anataka kula mnyama badala ya kumsaidia huyo mnyama anaeliwa asiliwe eti ndio kwanza anaseti kamera vizuri kushoti video mnyama anavyoliwa.
Kinachouma zaidi unakuta mnyama kama twiga au pundamilia na nyati ambae serikali ndio inawathamini zaidi ndio wanauwawa, badala ya kuzuia wanawaacha. Inauma sana/nimeumia sana, hawa watalii hata kama wanatuingizia hela nimewachukia sana.
Mbona kwao wanyama wao wanawapa nyama, tena mara nyingi naona ya ng'ombe hawaachi wakaua ovyo ovyo kama huku kwetu? Au wanafurahia
wanyama wetu wanavyouliwa?