Kuna baadhi ya watalii wa kigeni wanaroho mbaya sana

Kuna baadhi ya watalii wa kigeni wanaroho mbaya sana

Sasa amekuja kuamua ugomvi wa nature au kaja kutalii

We ukiona paka anavizia panya unamfukuza

Sasa wakale wapi gengeni ama
Mnyama anaepewa nyama ni zoo tu ila hao wanajitafutia wenyewe Sasa ugomvi usiomhusu auingilie wa nini?

Kama umewahi kumsikia Kevin Carter basi huyu ndio ungemtukana sana na hata kulia kwa uchungu

Alikuwa anarekodi vulture akimsubiri mtoto wa kike afe ili amle
Ilikuwa mwaka 1993 huko Sudan

Dunia nzima ilimlaani ila alikuwa best photographer na alipewa tuzo NY

Baada ya miezi 4 tangu apate tuzo alijiua mwenyewe
Alishindwa kuvumilia maneno kwani angeweza kumsaidia yule mtoto na hata kumpa maji na chakula pia kumpeleka katika kambi ya wakimbizi iliyokuwa nusu maili tu kutoka hapo

Sasa yeye anasema alikuwa anafanya kazi ya kuripoti matukio anaeliwa sio kazi yake

Hii picha iliniliza pia
Nipe link mkuu
 
Yaani unakuta mtalii tena mgeni yuko mbugani na mikamera yake alafu akikuta mnyama anaekula mnyama mwenzake kama fisi simba au chui anataka kula mnyama badala ya kumsaidia huyo mnyama anaeliwa asiliwe eti ndio kwanza anaseti kamera vizuri kushoti video mnyama anavyoliwa.

Kinachouma zaidi unakuta mnyama kama twiga au pundamilia na nyati ambae serikali ndio inawathamini zaidi ndio wanauwawa, badala ya kuzuia wanawaacha. Inauma sana/nimeumia sana, hawa watalii hata kama wanatuingizia hela nimewachukia sana.

Mbona kwao wanyama wao wanawapa nyama, tena mara nyingi naona ya ng'ombe hawaachi wakaua ovyo ovyo kama huku kwetu? Au wanafurahia wanyama wetu wanavyouliwa?
Na hao Simba na fisi wakale?
 
Mi naumia sana napoona anauliwa mbele yangu sio kwamba sitaka aliwe hapana ila kuuliwa mbele yangu pale anapohitaji msaada wa kumuokoa alafu ndio kwanza unaseti camera vizuri.mi miliwahi okoa sunguea alitaka kuliwa na tai,yaani sungura aliingia mvunguni mwa gari katulia tulia tai kayua juu ya keria ya gari ki nikashuka nikamtimua
Ni kweli inatia simanzi
 
Yeye walichinja hawajaua kwa kunyonga kama simba
Kuchinja sio kuuwa.
Je mtu akija kukuchinja hatashikiwa kwa kuua?
Vitu/mambo mengi brother ni propagabda. Kuamua kuzikubali au kutozikubali.
Ili tuishi inabidi tuwe wakatili kwa viumbe vingine . Ni kuamua kukipotezea kiumbe naisha au kikupotezee maisha.
Sisi binadamu tunashambuliwa na vimelea vidogo sana na tunakufa, nasi tunashambulia baadhi ya viumbe vife tuvile tuishi.
Tunaishi kwa kuua vingine. Ndio nature!
 
Yaani unakuta mtalii tena mgeni yuko mbugani na mikamera yake alafu akikuta mnyama anaekula mnyama mwenzake kama fisi simba au chui anataka kula mnyama badala ya kumsaidia huyo mnyama anaeliwa asiliwe eti ndio kwanza anaseti kamera vizuri kushoti video mnyama anavyoliwa.

Kinachouma zaidi unakuta mnyama kama twiga au pundamilia na nyati ambae serikali ndio inawathamini zaidi ndio wanauwawa, badala ya kuzuia wanawaacha. Inauma sana/nimeumia sana, hawa watalii hata kama wanatuingizia hela nimewachukia sana.

Mbona kwao wanyama wao wanawapa nyama, tena mara nyingi naona ya ng'ombe hawaachi wakaua ovyo ovyo kama huku kwetu? Au wanafurahia wanyama wetu wanavyouliwa?
Ww unahuruma za kijinga
 
Yaani unakuta mtalii tena mgeni yuko mbugani na mikamera yake alafu akikuta mnyama anaekula mnyama mwenzake kama fisi simba au chui anataka kula mnyama badala ya kumsaidia huyo mnyama anaeliwa asiliwe eti ndio kwanza anaseti kamera vizuri kushoti video mnyama anavyoliwa.

Kinachouma zaidi unakuta mnyama kama twiga au pundamilia na nyati ambae serikali ndio inawathamini zaidi ndio wanauwawa, badala ya kuzuia wanawaacha. Inauma sana/nimeumia sana, hawa watalii hata kama wanatuingizia hela nimewachukia sana.

Mbona kwao wanyama wao wanawapa nyama, tena mara nyingi naona ya ng'ombe hawaachi wakaua ovyo ovyo kama huku kwetu? Au wanafurahia
wanyama wetu wanavyouliwa?
Hiyo ndio nature na ecosystem ....ukizuia umeingilia mfumo wa maisha wa mbugani haifai kabsa
 
Back
Top Bottom