Kuna baadhi ya watalii wa kigeni wanaroho mbaya sana

Kuna baadhi ya watalii wa kigeni wanaroho mbaya sana

Sasa amekuja kuamua ugomvi wa nature au kaja kutalii

We ukiona paka anavizia panya unamfukuza

Sasa wakale wapi gengeni ama
Mnyama anaepewa nyama ni zoo tu ila hao wanajitafutia wenyewe Sasa ugomvi usiomhusu auingilie wa nini?

Kama umewahi kumsikia Kevin Carter basi huyu ndio ungemtukana sana na hata kulia kwa uchungu

Alikuwa anarekodi vulture akimsubiri mtoto wa kike afe ili amle
Ilikuwa mwaka 1993 huko Sudan

Dunia nzima ilimlaani ila alikuwa best photographer na alipewa tuzo NY

Baada ya miezi 4 tangu apate tuzo alijiua mwenyewe
Alishindwa kuvumilia maneno kwani angeweza kumsaidia yule mtoto na hata kumpa maji na chakula pia kumpeleka katika kambi ya wakimbizi iliyokuwa nusu maili tu kutoka hapo

Sasa yeye anasema alikuwa anafanya kazi ya kuripoti matukio anaeliwa sio kazi yake

Hii picha iliniliza pia
Hii kali..dah
 
Sasa amekuja kuamua ugomvi wa nature au kaja kutalii

We ukiona paka anavizia panya unamfukuza

Sasa wakale wapi gengeni ama
Mnyama anaepewa nyama ni zoo tu ila hao wanajitafutia wenyewe Sasa ugomvi usiomhusu auingilie wa nini?

Kama umewahi kumsikia Kevin Carter basi huyu ndio ungemtukana sana na hata kulia kwa uchungu

Alikuwa anarekodi vulture akimsubiri mtoto wa kike afe ili amle
Ilikuwa mwaka 1993 huko Sudan

Dunia nzima ilimlaani ila alikuwa best photographer na alipewa tuzo NY

Baada ya miezi 4 tangu apate tuzo alijiua mwenyewe
Alishindwa kuvumilia maneno kwani angeweza kumsaidia yule mtoto na hata kumpa maji na chakula pia kumpeleka katika kambi ya wakimbizi iliyokuwa nusu maili tu kutoka hapo

Sasa yeye anasema alikuwa anafanya kazi ya kuripoti matukio anaeliwa sio kazi yake

Hii picha iliniliza pia
Jamaa katili sana
 
Hii kali..dah
Ile picha hii hapa chini
Screenshot_20230401_112651_Google.jpg
 
Kinachouma zaidi unakuta mnyama kama twiga au pundamilia na nyati ambae serikali ndio inawathamini zaidi ndio wanauwawa, badala ya kuzuia wanawaacha
Wakijifanya kimbelekbele na wao wanaliwa
 
Sasa amekuja kuamua ugomvi wa nature au kaja kutalii

We ukiona paka anavizia panya unamfukuza

Sasa wakale wapi gengeni ama
Mnyama anaepewa nyama ni zoo tu ila hao wanajitafutia wenyewe Sasa ugomvi usiomhusu auingilie wa nini?

Kama umewahi kumsikia Kevin Carter basi huyu ndio ungemtukana sana na hata kulia kwa uchungu

Alikuwa anarekodi vulture akimsubiri mtoto wa kike afe ili amle
Ilikuwa mwaka 1993 huko Sudan

Dunia nzima ilimlaani ila alikuwa best photographer na alipewa tuzo NY

Baada ya miezi 4 tangu apate tuzo alijiua mwenyewe
Alishindwa kuvumilia maneno kwani angeweza kumsaidia yule mtoto na hata kumpa maji na chakula pia kumpeleka katika kambi ya wakimbizi iliyokuwa nusu maili tu kutoka hapo

Sasa yeye anasema alikuwa anafanya kazi ya kuripoti matukio anaeliwa sio kazi yake

Hii picha iliniliza pia
Yule jamaa alikuwa mjinga. Huwezi kufanya hivyo kwa binadamu. Baada ya kupiga ile picha ilitakiwa amsaidie yule mtoto. Anyways, inaonekana alipitiwa tu kwani kitendo cha yeye kujinyonga baada ya muda kilionyesha alivyojutia. Back to topic. Jamaa mwanzisha thread upeo wake mdogo. Sasa kama simba watakatazwa kula wanyama wengine wao watakula wapi? Kwanza matukio kama haya yanatokea mara nyingi sana bila mwanadamu kuwepo na wanayofanikiwa kurekodi ni machache tu.
 
Yule jamaa alikuwa mjinga. Huwezi kufanya hivyo kwa binadamu. Baada ya kupiga ile picha ilitakiwa amsaidie yule mtoto. Anyways, inaonekana alipitiwa tu kwani kitendo cha yeye kujinyonga baada ya muda kilionyesha alivyojutia. Back to topic. Jamaa mwanzisha thread upeo wake mdogo. Sasa kama simba watakatazwa kula wanyama wengine wao watakula wapi? Kwanza matukio kama haya yanatokea mara nyingi sana bila mwanadamu kuwepo na wanayofanikiwa kurekodi ni machache tu.
Hakupitiwa kumsaidia bali aliona amepata bonge la picha na litamuingizia hela ndefu sana

Kujiuwa kwake sio kuwa Ali feel guilty hapana bali tulimlaani sana kila kona ya mitandao mwisho akapata depression akajiua

Haya kuhusu mleta Mada sidhani kama ni mjinga la hasha anajua kabisa anachoandika anataka hoja ijibiwe tu
 
Yaani unakuta mtalii tena mgeni yuko mbugani na mikamera yake alafu akikuta mnyama anaekula mnyama mwenzake kama fisi simba au chui anataka kula mnyama badala ya kumsaidia huyo mnyama anaeliwa asiliwe eti ndio kwanza anaseti kamera vizuri kushoti video mnyama anavyoliwa.

Kinachouma zaidi unakuta mnyama kama twiga au pundamilia na nyati ambae serikali ndio inawathamini zaidi ndio wanauwawa, badala ya kuzuia wanawaacha. Inauma sana/nimeumia sana, hawa watalii hata kama wanatuingizia hela nimewachukia sana.

Mbona kwao wanyama wao wanawapa nyama, tena mara nyingi naona ya ng'ombe hawaachi wakaua ovyo ovyo kama huku kwetu? Au wanafurahia wanyama wetu wanavyouliwa?
Ilaumu Serikali yako ndugu! Hapo angeingilia si ajabu angebambikiwa shutums za kutaka kuiba nyara za Serikali, na chochote ambacho angelipa kingeenda kwenye matumbo ya watu.
 
Back
Top Bottom