Kuna baadhi ya watalii wa kigeni wanaroho mbaya sana

Kuna baadhi ya watalii wa kigeni wanaroho mbaya sana

Yaani unakuta mtalii tena mgeni yuko mbugani na mikamera yake alafu akikuta mnyama anaekula mnyama mwenzake kama fisi simba au chui anataka kula mnyama badala ya kumsaidia huyo mnyama anaeliwa asiliwe eti ndio kwanza anaseti kamera vizuri kushoti video mnyama anavyoliwa.

Kinachouma zaidi unakuta mnyama kama twiga au pundamilia na nyati ambae serikali ndio inawathamini zaidi ndio wanauwawa, badala ya kuzuia wanawaacha. Inauma sana/nimeumia sana, hawa watalii hata kama wanatuingizia hela nimewachukia sana.

Mbona kwao wanyama wao wanawapa nyama, tena mara nyingi naona ya ng'ombe hawaachi wakaua ovyo ovyo kama huku kwetu? Au wanafurahia wanyama wetu wanavyouliwa?
huruma za kijinga 😀 😀 😀
 
Ng'ombe kabisa

Kwahyo unaona nyama ya ng'ombe ni sahihi kuliwa na simba na sio nyama ya twiga
 
Acha ushamba bablai...hata askari wanyama pori hawawezi kuzuia simba kula mnyama mwingine.
Ni kosa kisheria kuzuia mnyama kula mnyama.

Mbona mnyama wewe ukikutwa unakamata hata digidigi unaishia lupango
 
Huoni Simba Bob Junior alishambuliwa hadi Umauti ukamfika na Watu wakawa wanaangalia tu, Nature ya Wanayama haiingiliwi
 
Yaani unakuta mtalii tena mgeni yuko mbugani na mikamera yake alafu akikuta mnyama anaekula mnyama mwenzake kama fisi simba au chui anataka kula mnyama badala ya kumsaidia huyo mnyama anaeliwa asiliwe eti ndio kwanza anaseti kamera vizuri kushoti video mnyama anavyoliwa.

Kinachouma zaidi unakuta mnyama kama twiga au pundamilia na nyati ambae serikali ndio inawathamini zaidi ndio wanauwawa, badala ya kuzuia wanawaacha. Inauma sana/nimeumia sana, hawa watalii hata kama wanatuingizia hela nimewachukia sana.

Mbona kwao wanyama wao wanawapa nyama, tena mara nyingi naona ya ng'ombe hawaachi wakaua ovyo ovyo kama huku kwetu? Au wanafurahia wanyama wetu wanavyouliwa?
Ni kosa_ ata kuwapa Chakula pia ni kosa. We umeenda waangalia na sio kusolve matatizo yao!
 
Kweli washamba hawaishi...hiyo ni nature mkuu

Sijakataa ila nasemea pale anapouliwa mnyama mbele ya mtalii mnyama anajitahidi kuingia hadi mvunguni mwa gari lakini mtalii eti anamtoa ili aliwe vizuri[emoji24][emoji24]
 
Back
Top Bottom