Kuna binadamu wana moyo...

Kuna binadamu wana moyo...

Mwanaume kuendelea kua na mwanamke uliomfuma aki cheat ni sawa na kukubali kushikwa tako

Je utakubali kuendelea kushikwa tako ?
 
kuna kitu kipo ndani ya pazia......usikute hata watoto sio wake.....
 
Mapenzi upofu na ukishapenda maovu huoni
Ukipenda tanguliza kichwa siyo moyo....mahusiano yanayo risk hadi afya yko hayo siyo mahusiano asee sa huyu jamaa kwa mwanmk wa namna hyo STIs n vingine ni nje nje tu
 
Mwanaume kuendelea kua na mwanamke uliomfuma aki cheat ni sawa na kukubali kushikwa tako

Je utakubali kuendelea kushikwa tako ?
Fact man...uvumilivu wa kihayawani Mimi huwa ni one step ahead we finish off...huu ujinga wa kumvumlia msaliti kila wakati kwa kosa moja..ila jamaa aliumbwa kwa ajili ya huyo bu dada Labda hahaaaa blaindinesi huhuhu
 
lakini si kwa upofu huo, unadhani mtu wa aina hiyo ataacha?
Mkuu hujawahi pigwa limbwata la kizunguzungu wima, yaani atatombwa mbele yako! na unawafulia nguo wewe omba mungu hivohivo yasikukute!
 
Tatizo
inaonesha mwanmke alikua amemtawala sana huyo jmaa kiac kua hana altenative ,,jmn mbona wapo weng sana hawa viumbe wako mpk walio tulia ,binafsi siwezi cheka na nyani
Sio kuwepo weng ila je? Nan umependaa awe wako wa maisha? Upendo wa kweli hauhesabu mabaya
 
Natumai hamjambo wananzengo

Wakuu kuna binadam wana moyo sana, hili nimelithibitisha baada ya huyu bwana kunisimulia kisa chake.

Ipo hivi, huyu bwana alisoma chuo kimoja na mpenziwe, wakiwa chuo mpenziwe alimcheat na lekcha jamaa akasamehe maisha yakaendelea.

Siku nyingine akawa anahtaji gegedo kwa mpenziwe, akajibiwa yupo hedhi bt kumbe mpenziwe alikua na miadi ya kugegedwa na njemba nyingine.

Kesho yake walipokutana jamaa akashika sim ya mpenziwe akakutana na txt inasema "ahsante kwa huduma ulonipa jana, nilienjoy sana" Jamaa kuuliza mwanamke akakiri kosa akaomba msamaha jamaa akasamehe maisha yakaendelea, mwisho wakaoana hadi leo wana familia ya watoto wawili.

Hichi kisa kilinifanya nijue kuna watu wana moyo sana, hata nikabaki namshangaa tu huyu bwana, bt upande wangu moyo wakipumbavu kama huo sina na sintokuja kua nao coz kusalitiwa ndo kosa ambalo hua siwezi samehe hasa nikiwa nimeprove.

Je, wewe ukiuvaa uhusika wa huyu bwana utayakabili vipi haya matukio?
mimi sitakiwi kumiliki silaha yoyote,
 
Kuna dada namfaham yeye anamcheat mmewe wanaishi pamoja kabisa mme anajua ila hawezi kumuacha mwanamke mara kibao tu

Mwingine mkewe alikuwa anapenda wanaume mpaka siku moja akabakwa mmewe hajamuacha

Sijui kuna nini
 
Kuna dada namfaham yeye anamcheat mmewe wanaishi pamoja kabisa mme anajua ila hawezi kumuacha mwanamke mara kibao tu

Mwingine mkewe alikuwa anapenda wanaume mpaka siku moja akabakwa mmewe hajamuacha

Sijui kuna nini
hapo kuna shida pahala, unaeza kuta mume ndani parfomance zero hivo inabidi ampe uhuru mkewe ili kulinda ndoa
 
Back
Top Bottom