Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labla hichi unacho sema ni kweli tofaut na hapo Kalonza alimgongea bibi ya rafiki yakeHiyo picha wameedit Kalonzo katika enzi za ujana wake na Kalanzo katika uzee.😁
Tunaweza kupata picha ya marehemu pia?
Hapo amemgusa na kidole anamnong'oneza na kumwambia 'you are my son 'Hii picha ya Kalonzo Musyoka (aliyevaa suti), Naibu Rais mstaafu wa Kenya na waziri wa zamani katika wizara mbalimbali akimfariji mtoto wa rafiki yake wa muda mrefu ambaye ni baba yake aliyefariki imezua maneno sana huko Kenya.
View attachment 3230234