Kuna binadamu wanafanana sana.

Kuna binadamu wanafanana sana.

Yoda

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2018
Posts
48,475
Reaction score
70,102
Hii picha ya Kalonzo Musyoka (aliyevaa suti), Naibu Rais mstaafu wa Kenya na waziri wa zamani katika wizara mbalimbali akimfariji mtoto wa rafiki yake wa muda mrefu ambaye ni baba yake aliyefariki imezua maneno sana huko Kenya.
20250209_101429.jpg
 
Hiyo picha wameedit Kalonzo katika enzi za ujana wake na Kalanzo katika uzee.😁
Tunaweza kupata picha ya marehemu pia?
 
Hiyo picha wameedit Kalonzo katika enzi za ujana wake na Kalanzo katika uzee.😁
Tunaweza kupata picha ya marehemu pia?
Labla hichi unacho sema ni kweli tofaut na hapo Kalonza alimgongea bibi ya rafiki yake
 
Hii picha ya Kalonzo Musyoka (aliyevaa suti), Naibu Rais mstaafu wa Kenya na waziri wa zamani katika wizara mbalimbali akimfariji mtoto wa rafiki yake wa muda mrefu ambaye ni baba yake aliyefariki imezua maneno sana huko Kenya.
View attachment 3230234
Hapo amemgusa na kidole anamnong'oneza na kumwambia 'you are my son '
 
Back
Top Bottom