Kuna binti alinipa namba ya simu ila naona hatoi ushirikiano wa mawasiliano

alcacer

JF-Expert Member
Joined
Apr 16, 2021
Posts
238
Reaction score
203
Juzi bana katika harakati zangu za kutafuta mchele nikabahatika kukutana na mtoto mzuri kwenye daladala, stori za hapa na pale mara paaaap!

Nikaomba namba mtoto akanipa lakini naona ayupo ACTIVE shida itakuwa nini apo au anataka kubembelezwa?
 
Acha nifanye ivi natak kumla Tu
 
Tuma ada ya usajili mpya [emoji23][emoji23]
 
Bila kumu activate atabaki kuwa dormant. Tafuta catalyst activation chemical inaitwa pesa ifanyie featuring na vocha ya buku tano utakuja kunishukuru
Mkuu mshana kuna maneno ambayo huwa nayotumia demu akinipa namba sisumbuki kumpigia nafanyaga zoezi la maneno ya giza ndani ya siku 14 ananitafuta mwenyewe hadi inakuwa kero nikila mbususu tu nasema,mshana hebu saidia hii pang'ang'a kama unaweza uronzi huo
 
Hahahaha nimestaafu ndugu yangu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…