Kuna Binti, nilimpenda sana, ana Miaka 26, na Watoto watatu

Kuna Binti, nilimpenda sana, ana Miaka 26, na Watoto watatu

Tman900

JF-Expert Member
Joined
May 30, 2017
Posts
589
Reaction score
1,897
Kuna Binti, nilimpenda sana, ana Miaka 26, na Watoto watatu. Alileta sarakasi za Kila aiana mi nikachemka, Dem anawatoto watatu nilimpenda hivyo, hivyo.

Nilivyoona anazingua nikampiga Chini, mademu wako wengi Leo anapiga simu anashida anaomba asaidiwe.

Dharau kibao, Leo yeye wakua na shida na Nyodo zake zote alizonionyesha. Hawa Viumbe akili zao na Matendo yao. Itakushangaza.

Kiukweli Mwanamke ni kiumbe ambacho akijulikani kinataka Nini,
 
Kuna Bint, nilimpenda sana, ana Miaka 26, na Watoto watatu. Alileta sarakasi za Kila aiana mi nikachemka, Dem anawatoto watatu nilimpenda hivyo, hivyo.

Nilivyoona anazingua nikampiga Chini, mademu wako wengi Leo anapiga simu anashida anaomba asaidiwe.

Dharau kibao, Leo yeye wakua na shida na Nyodo zake zote alizonionyesha. Hawa Viumbe akili zao na Matendo yao. Itakushangaza.

Kiukweli Mwanamke ni kiumbe ambacho akijulikani kinataka Nini,
Hao watoto watatu Wote ni wa baba mmoja?
Wamepishana miaka mingapi mingapi?
Alishawahi kukusimulia kwanini ni single maza?
 
Nimempotezea mda sana. Ila mwanamke Kiumbe kimoja cha kistaajabisha sana, ajui anataka nni
 
Acha utoto we mama hakikisha uyo mke waume zake wote wamekufa
 
Kuna Binti, nilimpenda sana, ana Miaka 26, na Watoto watatu. Alileta sarakasi za Kila aiana mi nikachemka, Dem anawatoto watatu nilimpenda hivyo, hivyo.

Nilivyoona anazingua nikampiga Chini, mademu wako wengi Leo anapiga simu anashida anaomba asaidiwe.

Dharau kibao, Leo yeye wakua na shida na Nyodo zake zote alizonionyesha. Hawa Viumbe akili zao na Matendo yao. Itakushangaza.

Kiukweli Mwanamke ni kiumbe ambacho akijulikani kinataka Nini,
Ukimrudia tu....
Umekwisha...kama kurogwa unadhani ni hadithi,,,jaribu,,,,,,
 
Back
Top Bottom