Kuna Binti, nilimpenda sana, ana Miaka 26, na Watoto watatu

Kuna Binti, nilimpenda sana, ana Miaka 26, na Watoto watatu

Kuna Binti, nilimpenda sana, ana Miaka 26, na Watoto watatu. Alileta sarakasi za Kila aiana mi nikachemka, Dem anawatoto watatu nilimpenda hivyo, hivyo.

Nilivyoona anazingua nikampiga Chini, mademu wako wengi Leo anapiga simu anashida anaomba asaidiwe.

Dharau kibao, Leo yeye wakua na shida na Nyodo zake zote alizonionyesha. Hawa Viumbe akili zao na Matendo yao. Itakushangaza.

Kiukweli Mwanamke ni kiumbe ambacho akijulikani kinataka Nini,

Kama una uwezo unaweza kumsaidia halafu ukamuacha na maisha yake, msaada hauangalii status za ugomvi!
 
acha ufala wewe, yani unampenda mal*ya mwenye watoto 3? tena inawezekana ni wa baba tofauti. huyo sio mke bali ni MTAMBO wa kufyetua watoto.
 
acha ufala wewe, yani unampenda mal*ya mwenye watoto 3? tena inawezekana ni wa baba tofauti. huyo sio mke bali ni MTAMBO wa kufyetua watoto.
Kwel hiyo bint ni malaya mzoefu, ila nilijichanya Vibaya... Niliingia mazima.
 
Wewe ni yule mwanaume ambaye wanawake tunawasikia wakisema "pamoja na umalaya wangu lkn siwezi kuwa na mtu kama yule"
 
Daah, aisee, three kids na Bado ukadata... Nature iepushie mbali.
 
Kuna Binti, nilimpenda sana, ana Miaka 26, na Watoto watatu. Alileta sarakasi za Kila aiana mi nikachemka, Dem anawatoto watatu nilimpenda hivyo, hivyo.

Nilivyoona anazingua nikampiga Chini, mademu wako wengi Leo anapiga simu anashida anaomba asaidiwe.

Dharau kibao, Leo yeye wakua na shida na Nyodo zake zote alizonionyesha. Hawa Viumbe akili zao na Matendo yao. Itakushangaza.

Kiukweli Mwanamke ni kiumbe ambacho akijulikani kinataka Nini,
Msaidie tuu mkuu,yaliyopita si ndwele unahisi kwanini hakumwambia mtu mwingine bali akakuambia wewe??
 
Mimi nikadhani kuwa alikuringia kitambo hicho hakiwa hana mtoto sasa ndio amerudi kwako akiwa na watoto,kumbe sikukuelewa, anyway wacha nisichangie chocolate
 
Kuna Binti, nilimpenda sana, ana Miaka 26, na Watoto watatu. Alileta sarakasi za Kila aiana mi nikachemka, Dem anawatoto watatu nilimpenda hivyo, hivyo.

Nilivyoona anazingua nikampiga Chini, mademu wako wengi Leo anapiga simu anashida anaomba asaidiwe.

Dharau kibao, Leo yeye wakua na shida na Nyodo zake zote alizonionyesha. Hawa Viumbe akili zao na Matendo yao. Itakushangaza.

Kiukweli Mwanamke ni kiumbe ambacho akijulikani kinataka Nini,
Huyo sio binti ni mkolechi 😁😁
 
Kuna Binti, nilimpenda sana, ana Miaka 26, na Watoto watatu. Alileta sarakasi za Kila aiana mi nikachemka, Dem anawatoto watatu nilimpenda hivyo, hivyo.

Nilivyoona anazingua nikampiga Chini, mademu wako wengi Leo anapiga simu anashida anaomba asaidiwe.

Dharau kibao, Leo yeye wakua na shida na Nyodo zake zote alizonionyesha. Hawa Viumbe akili zao na Matendo yao. Itakushangaza.

Kiukweli Mwanamke ni kiumbe ambacho akijulikani kinataka Nini,
Acha uongo. Eti binti! Huyo ni mumama na inaonekana bado unamzimikia. Alikukataa. Lm ulimpiga chini sasa unalalamika nini?
 
Back
Top Bottom