Kuna bomu linakaribia kulipuka muda wowote

Boss huko kwenye mifuko ya kijamii wamekula pesa zote na ndio sehemu iliyobakia ya wao kupiga ndio maana kila uchwao kikotoo cha mstaafu kinachezewa na pesa yake imeisha. Acha utani wewe[emoji23][emoji23]
Yaani mkuu Zambia nimeona wamerudisha hiki kitu sisi ndio kwanza tunakifuta, huko mbele tutakuwa na taifa ambalo vijana wanategemea wazee sijui itakuwaje? Yaani wangeweka Ile Hela Kwa vijana iwe hata dhamana ya kukopea, tunaona wanasiasa wakitolewa kwenye vyeo wanafanya shughuli nyingine hata kulima nyanya, lakini wewe wa muhindi akikuachisha ndio basi
 
Mawazo mgando haya au wewe huna watoto wanaosoma shule za serikali? Nenda kule uone kulivyo na uhaba wa walimu wakati huo huo wasomi kibao wanazurura mitaani.
Mikoa ya kusini Haina watumishi hasa walimu ,
Shule moja Ina wanafunzi mpk la tano in walimu 2.
Shule nyingine 1 mpk 7 walimu 6
Shule nyingine 1 mpk 7 walimu 7
Nyingine 1 mpk 7 walimu 5..sitaki kumaliza lakini hebu jiulize rate hii ya walimu wanawezaje kila darasa SI chini ya masomo 5 huwa wanafundishaje ...

Hali Ni mbaya Sana wanasiasa hakuna anayejali
 
Ila wewe inaonekana kichwa chako kina maji na sio ubongo
 
mfalme juha.
 
Tujitafakari sana kama taifa maana wazungu wametuingiza kwenye mtego wa mda mrefu na sasa tumenasa maana walituletea elimu ambayo ilitakiwa ituwezeshe kutumwa na wao na sasa tumekuwa watumwa wa kifikra.
Sasa hapo mzungu unamlaumu kwanini yaani akujengee miundombinu akukopeshe mapesa kibao then unamlaumu.

Mm naona sababu ya hali hii ni akili zetu tu mbaya hatujielewi viongozi janjajanja watendaji janjajanja hakuna weledi.

Huna fadhira.
 
Chief unamjua niliyemjibu alikuwa anaongelea hoja gani! 😂😂😂😂dah chief acha kukurupuka nakushauri, yaani acha kweli. Hivi unajua aliyelinganisha ni yupi boss😂😂😂
 
Unaelewa maana ya overpopulation?
[emoji23][emoji23][emoji23] boss nchi yetu haina overpopulation bali ina bajeti ndogo ya taifa. Kwa overpopulation hatujafika huko sema Dar ndio inaoverpopulation
 
Overpopulation ni tatizo kubwa linalochangia ukosefu wa ajira. Kasi ya ukuaji wa idadi ya watu inabidi kudhibitiwa ukichangia kasi ya ukuaji uchumi wetu ni ndogo.
Ewaaaaaa
 
Tatizo wengi hawana uelewa kuhusu overpopulation, hawafahamu kwamba overpopulation ni suala linalohusiana na balance ya kuzifikia rasilimali, huduma za kijamii, miondombinu na mifumo ya ku support hiyo idadi ya watu na sio ukubwa wa eneo tu.
 
Hata hao mafundi, madaktari na ma engineer wako wengi wamejaa mitaani wanamaliza soli za viatu tu kutafuta ajira.
Cha muhim jamii ibadilike kila nyumba ina mwalim wa arts watu waanze kusomea fani zingine tatizo vijana tunafikiri kazi za ufundi ni kazi za watu waliofeli ila huko ndo hela zilipo tena hubembelezi mtu ni wewe tu unaamshwa na sim za wateja
 
Namuumiliza juu ya conceptions zake kuhusu maridhiano na asali! Je hayo yanaingiaje kweny ukosefu wa ajira? Hilo ndilo swali langu. NB; Ukileta hoja humu iwe ni mtazamo wako ama umepewa hoja uilete jiandae na maswal ya kila aina!!
 
Huwa nasikitika mno kwa kiwango cha kuugua ninapoona wale wasiosoma wanamcheka msomi wa digrii wanamwambia elimu yako imekusaidia nini.

Wakat wao wanaishi mjini kwa ushirikina na chuma ulete.

Yan inasikitisha mno.
Hakuna ushirikina hakuna chuma ulete changaamsha ubongo huo tafuta kazi ya kufanya.
 
Ila wewe inaonekana kichwa chako kina maji na sio ubongo
Kuliko ku attack personally ni vzr san ungejibu kilichopo au ungekuja na unachoona ni kwel au ni sahihi!! NB; Hakuna kitu kibaya kwa mwanadam kama kutojua kama hujui!!
 
uko sahihi sana, kweli jobless ndio mtaji mkubwa wa kuleta mabadiriko.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…